Hamisa Mobetto ana roho ngumu sana

Umbile la mtu lisimnyime starehe jamaniiii
Mbona huyu Rick hawafikii wa kwetu humu mitaani!? Au shida ni mobetto?..... msimnyanyapae shemela buana

Ulishamuona pitamsechu au bongekatagira wakiwa vifua wazi!?
Hapana, embu tuelezee wakoje koje kwa mfano?
 
Picha ya zamani sana hiyo, kipindi hicho hata six pack hana
 
wengi wanaoponda muonekano wa liklosi ni wakaka.

Empty minds, Empty pockets.

Maniner.

Jamaa mbona yuko vizuri tu mimi naona hakuna tatizo kiukweli mwekezaji kama mwekezaji lazima aheshimiwe
IMG_8568.jpg
 
Rick Ross amepungua.

Kuna mazoezi ya kupunguza mwili yanaitwa Cross Fit yeye akawa anayaita Ross Fit kwenye ngoma yake Drug Dealers Dream pale ndiyo gari imewaka moto.

Unless kama amekua trapped na weight cycle ila alipungua.
 
We nae kumbe fala sana kuna nyimbo ya marehem Mangwair inaitwa bado hujawajuwa mademu.Bro hukuona hata ile movie inaitwa king kong demu anampenda yule mdudu hadi akatoroka kumfata.Mkuu mji huu una wenyew wa bush rudi shamba.
kweli wa bush turudi bush tuwaachie wenye mji wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom