Boti😂😂😂 mkuu wewe🙌Harafu watu WA hivi kubadilisha maji kwenye water dispenser ana kwambia njoo unisaidie wakati hili boti kajitwisha mgongoni mwenyewe bila msaada WA MTU yeyote😂😂😂😂😂
Mpigamiti... Daah umenikumbusha hicho kijiji nilipita long time...Kwa hiyo huyo mwamba ndio anampiga miti kimasihara Mabebo?
Mobeto hana mapenzi njaa ndio zimempeleka akaliwe takoKama mnavyo iona picha ya Rosiee hivi Mobeto amewezaje kumuweka kifuani huyo mwamba? Mobeto utakuja kufa ww yaani unabeba magunia manne ya mahindi? Wape mabinti wenzako mbinu za kubeba magunia manne View attachment 2027377
Hapana, embu tuelezee wakoje koje kwa mfano?Umbile la mtu lisimnyime starehe jamaniiii
Mbona huyu Rick hawafikii wa kwetu humu mitaani!? Au shida ni mobetto?..... msimnyanyapae shemela buana
Ulishamuona pitamsechu au bongekatagira wakiwa vifua wazi!?
Absolutely.. She is a golddiggerMobeto hana mapenzi njaa ndio zimemleka akaliwe tako
Hapana,embu tuelezee wakoje koje kwa mfano?
wengi wanaoponda muonekano wa liklosi ni wakaka.
Empty minds, Empty pockets.
Maniner.
dah! Kweli dunia inamambo hiyo minyama nyama ilikuwa inamfunika HamisaJamaa mbona yuko vizuri tu mimi naona hakuna tatizo kiukweli mwekezaji kama mwekezaji lazima aheshimiwe
View attachment 2027655
Ukute mtoa mada nae anakojoa kwa kusimama,Heheee..ya mobeto aachiwe mwenyewe
Kwani lazima amuweke kifuani,siku hizi wanajipimia wenyewe
wengi wanaoponda muonekano wa liklosi ni wakaka.
Empty minds, Empty pockets.
Maniner.
Jamaa mbona yuko vizuri tu mimi naona hakuna tatizo kiukweli mwekezaji kama mwekezaji lazima aheshimiwe
View attachment 2027655
kweli wa bush turudi bush tuwaachie wenye mji waoWe nae kumbe fala sana kuna nyimbo ya marehem Mangwair inaitwa bado hujawajuwa mademu.Bro hukuona hata ile movie inaitwa king kong demu anampenda yule mdudu hadi akatoroka kumfata.Mkuu mji huu una wenyew wa bush rudi shamba.