Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,150
- 22,523
Halafu akiambiwa abebe mtungi wa gesi anadai amechoka, anamuita boda akaubebe
Kuna kitu nimewaza sababu je na wewe umewaza kama mimiKatika swala la hamisa na rick....kinachonishangaza ni wanaume kukasirika, kwani kinachowafanya kukasirika ni nini????
Sababu ni nini Witty? Mi hadi sasa sijajua kwakweli....nilitegemea makasiriko yangekua kwetu team zari 😁, team mama dangote na wanawake woteee tulioumbwa na wivu mixa visokolokwinyo.Kuna kitu nimewaza sababu je na wewe umewaza kama mimi
Kumbe wanajipimia? Wanajipimiaje? Mimi ni mjinga, naomba nipewe elimu hii mpya kwangu.Kwani lazima amuweke kifuani, siku hizi wanajipimia wenyewe
Mwanaume tattoo kama Chatu. Huyu hanisogelei. Kwanza Sitateleza. Kwa Binti yule Bora aendelee na Break Price. This is Dying for Fame.Kama mnavyo iona picha ya Rosiee hivi Mobeto amewezaje kumuweka kifuani huyo mwamba? Mobeto utakuja kufa ww yaani unabeba magunia manne ya mahindi? Wape mabinti wenzako mbinu za kubeba magunia manne
Samahani mkuu, wewe ni mwanaume?Kama mnavyo iona picha ya Rosiee hivi Mobeto amewezaje kumuweka kifuani huyo mwamba? Mobeto utakuja kufa ww yaani unabeba magunia manne ya mahindi? Wape mabinti wenzako mbinu za kubeba magunia manne
Wadangaji hao wanateteana nankupigiana PromoUmbile la mtu lisimnyime starehe jamaniiii
Mbona huyu Rick hawafikii wa kwetu humu mitaani!? Au shida ni mobetto?..... msimnyanyapae shemela buana
Ulishamuona pitamsechu au bongekatagira wakiwa vifua wazi!?
Wewe ni ke au me?Kumbe wanajipimia? Wanajipimiaje? Mimi ni mjinga, naomba nipewe elimu hii mpya kwangu.
Kubadilisha maji kwenye dispenser anabeba mkononi huyu hambebi mkononiHarafu watu WA hivi kubadilisha maji kwenye water dispenser ana kwambia njoo unisaidie wakati hili boti kajitwisha mgongoni mwenyewe bila msaada WA MTU yeyote
Mobeto utakuja kufa ww yaani unabeba magunia manne ya mahindi? Wape mabinti wenzako mbinu za kubeba magunia manne
Samahani mkuu, wewe ni mwanaume?
Kama ni mwanaume, jitafakari sana
Wanaume wa Dar mnamuonea wivu Mobetto
Nyimbo ya John iyoThe bigger the bullet, the more that bitch go "Bang"
Ni wivu TU unawasumbuaWengi wanaoponda muonekano wa liklosi ni wakaka.
Empty minds, Empty pockets.
Maniner.