Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
SuresureMzur Mke wangu
waiter zungusha [emoji481] [emoji481] [emoji481]
SuresureMzur Mke wangu
waiter zungusha [emoji481] [emoji481] [emoji481]
Hapa cha Arusha hawakikosi hawa machaliiKiboko ni jina la mnyamaView attachment 406316
Hapana...huyu mtoto mzuri bana.Wa kawaida sana
Daaaamn!!!! Nipe namba hela sio tatizo.Tanzania wapo wanawake wazuri zaidi yake. Kuna huyo mmoja anakuja juu mno ktk fani ya model. Anaitwa Sanchoka. Huyo at least amekamilika kila idara. Yupo instagram na facebook huyo mdada. Mtazame ktk hii picha halafu uniambie.View attachment 405895
Hata hivyo bado ni mzuri mkuuHuyu binti mapicha yake ya kuedit yanawachanganya sana watu lakini ni wakawaida sana!View attachment 405905hapa akiwa uswahilini kwaoView attachment 405906
Hujawahi kutembelea Karatu wala Kondoa wewe ndo mana unaona huyo ni zaidi ya wengine,ni kwa sababu tu wengine hawaonekani kwenye mitandaoMtoto mzuri sana huyu,. Tanzania hii sijaona aisee kama kafilipinoView attachment 405855