Hamisa Mobeto, mtoto mzuri Tanzania nzima

Hamisa Mobeto, mtoto mzuri Tanzania nzima

Hujawahi kutembelea Karatu wala Kondoa wewe ndo mana unaona huyo ni zaidi ya wengine,ni kwa sababu tu wengine hawaonekani kwenye mitandao
Kweli kabisa huko vichakani kuna vyombo sio mchezo hawana muda wa kujitazama penye kioo unabaki unawaza kitu hiki nikikipeleka mjini kikawa kina koga mara tatu kwa siku juice za kujimiminia uhakika wa menu sio mchezo utaanza kupata marafiki wengi hasa matajiri.
 
Tanzania wapo wanawake wazuri zaidi yake. Kuna huyo mmoja anakuja juu mno ktk fani ya model. Anaitwa Sanchoka. Huyo at least amekamilika kila idara. Yupo instagram na facebook huyo mdada. Mtazame ktk hii picha halafu uniambie.View attachment 405895
Huyo ana uzuri gani wakati hapo kifuani unaona kabisa ndala imetulia
 
Haya sasa muvi inaendelea ngoja wadau waje wakukandie kama walivyokuwa wananikandia mimi kwa tunda
Brigedia Mafia? Isn't this Money Mayweather aka Hance Mtanashati na Tunda wako? Umeacha boxing ukaingia jeahini na kupanda cheo haraka haraka mpaka kuwa Brigedia? Hance ndiyo KaRIP ama?
 
makeup zinachanganya watu duh....misioni uzuri naona makeup tuuuu...labda uzuri mwingine wa personality japo na siufahamu
 
Tanzania wapo wanawake wazuri zaidi yake. Kuna huyo mmoja anakuja juu mno ktk fani ya model. Anaitwa Sanchoka. Huyo at least amekamilika kila idara. Yupo instagram na facebook huyo mdada. Mtazame ktk hii picha halafu uniambie.View attachment 405895
Kwa hizo biringanya zilizokosa maji hapo kifuani au, toa uchafu huu[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Aisee hawa madada masupastaa ni make up tu Hahahahaa nilibahatika kumuona bila make up Ni wa kawaida sanaaa
 
Back
Top Bottom