Hamis Kigwangala kuhamia CHADEMA

Hamis Kigwangala kuhamia CHADEMA

Hapo KISA kikubwa ni ADUI namba nne (kati Umaskini, Ujinga, Maradhi na Wizi na Ufisadi) ambaye ni Wizi na Ufisadi. Anaona bora akae mbali na mambo hayo.
 
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.

Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.

Sidhani kama anahamia huko ili akapate urahisi wa kugombea nafasi ya URAHISI!! WA TANZANIA katika uchaguzi ujao
 
Sidhani kama anahamia huko ili akapate urahisi wa kugombea nafasi ya URAHISI!! WA TANZANIA katika uchaguzi ujao
Taarifa inasema atahamia baada ya kuvunjwa Bunge, haisemi atahamia ili akagombee huo Urahisi unaousema
 
Dr. Hamis Kigwangwala is one of the inteligent, honest, man of war, true leader and a man who possess all good characters that a good leader must have. Kama kweli akihama CCM ni ukweli uliowazi kuwa watakua wamepoteza jembe na mtu makini sana na msimamia haki za wanyonge ambao kimsingi mpaka sasa wapo wachache sana ndani ya CCM pamoja na akina Filikunjombe..

Hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu katika siasa....

Comrade Kigwangwala, fanya maamuzi yaliyosahihi kwa hatima ya siasa zako...
CCM ya mwaka 1970s sio hii ya leo kabisa, kwahiyo mtu yeyote mwenye kufanya siasa za haki na maslahi kwa taifa hawezi kuendelea kuambatana na siasa za kifalme, kidugu, uonevu, zisizo na utaratibu, rushwa, ukandamizaji na mabaya yote ya dunia hii zinazofanywa na CCM.

hahahahah....CCM bhana....hahahah
 
Wajanja ni bora wakahama Mapema. Watakaochelewa imekula kwao.baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 CCM itakua imefutika rasmi.
 
Usjar. Kila shetani na #Mbuyu wake. Time never lies. It will direct & tell what to do and when.

Right?

Kaka hivi Viingereza tuwaachie wenyewe wanaovijua, mimi na wewe wa sekondari hizi zetu za kata, tukikumbatie kiswahili chetu tu.
Maana sidhani kama hata wewe mwenyewe unakielewa ulichokiandika, seuze sie?
 
Hatutaki watu wenye matatzo ya akili

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
CCM ni kama Sir Alex Ferguson. Mchezaji akijifanya much know ; tupa kule.

Kama ni harakati za ukweli,kufa na kupona,mbona kina mwakyembe na Filikunjombe wanazichapa sana. Kwamba yeye kaona shida gan?

Napendekeza aendage Chadema tu. Yaana tutakuwa tumeuza #galasa kama tulivowauzia #SHIBUDA . Mlijua ni jembe. Sasa mnahaha nakuliona zigo la mavi.

Huyu hakuwa mwizi kama huyo CCM unayejaribu kumringanisha nae
 
Ikiwa ni ukweli basi ujuwe anachunguzwa na TAKUKURU na vyombo vingine vya uchunguzi kuhusiana na escrow.

Tutasikia na kuona mengi kuelekea uchaguzi, ya uongo haya, ya kweli haya, ya porojo haya.
 
aaah!! wengine walizaliwa mashujaa ila ukikosea kuingia kwenye kundi la MAGAMBA!! unakosa falsafa kabisa!!! jiunge na TEAM LOWASSA tu!! watu wasio na huruma!!
 
Duh ama kweli huyu ni Dr Pumba. mbona akifanya hivyo ndio atajimaliza, Msomaji Bashe ataachiliwa ammalize kabisa, hata hivyo alishanda kwa msaada wa ikulu, na akitetereka na kuangukia chadema itakuwa kosa lake kubwa.
 
Si hao tu kwani Mtanzaia yeyote ambaye alizaliwa kabla ya Mwaka 1992, elewa alikuwa CCM.

Lakini kutokana na UOZO uliopo tukaamua kujiondoa na kushabikia UKAWA.

Lazima tuwaondoe Viongozi wabovu wa CCM madarakani mwaka huu.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

acha mawazo mgando nan kakudanganya et kila aliyezaliwa kabla ya kuanza mfumo wa vyama vingi wote ni ccm!labda kwenu.
 
Asilimia 70% ya vijana watajiandikisha na kupiga kura,Kulinda kura,unadhani CCM mnachenu,? Labda urais ila ubunge,udiwani mnatoka sehemu nyingi tu,.SUBIRINI MUONE,SIMNATAKA KUWA KAMA THOMASO?
 
Vijana wanahitaji kujiandikisha,hata kama mtafunga mashule na vyuo,Utaratibu maalumu uwepo wa vijana kupiga kura,.MNATAKA KUWA KAMA THOMASO? SUBIRINI MUONE OCTOBA.
 
Kaka hivi Viingereza tuwaachie wenyewe wanaovijua, mimi na wewe wa sekondari hizi zetu za kata, tukikumbatie kiswahili chetu tu.
Maana sidhani kama hata wewe mwenyewe unakielewa ulichokiandika, seuze sie?

Hakuna anayezungumza ki ingereza sahihi duniani!
waingereza wenyewe wanakiri hivyo! asa we km hujiamini kuogea lugha hiyo acha wenyewe waendelee!
Hoja hapa ni je! huyo mhesh. anahamia chadema kweli??
km akifanya hivyo ntampongeza sana! haiwezekani kukaa na wezi!
 
acha mawazo mgando nan kakudanganya et kila aliyezaliwa kabla ya kuanza mfumo wa vyama vingi wote ni ccm!labda kwenu.


Nakubaliana na wewe huenda umezaliwa mwaka 1980's to 1990's hivyo hadi mwaka 1992 ulikuwa bado hujatimiza umri wa miaka 18.

kwa mimi ambaye nilizaliwa enzi za TANU, hilo lipo wazi kuwa nilikuwa CCM enzi zile za chama kimoja. Na hapa simaanishi kuwa mimi bado ni mwana CCM. Kwani nilishakimbia toka mwaka 1995.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!
 
Back
Top Bottom