mkuu speak for yourself,sijawahi kuwa ccm.Si hao tu kwani Mtanzaia yeyote ambaye alizaliwa kabla ya Mwaka 1992, elewa alikuwa CCM.
Lakini kutokana na UOZO uliopo tukaamua kujiondoa na kushabikia UKAWA.
Lazima tuwaondoe Viongozi wabovu wa CCM madarakani mwaka huu.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
ikidhihirika hajahama?!!acha ushabiki mandaziHuyu ana laana ya kumtelekeza baba yake, Aende tu mwana kwenda
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
mkuu speak for yourself,sijawahi kuwa ccm.
Si hao tu kwani Mtanzaia yeyote ambaye alizaliwa kabla ya Mwaka 1992, elewa alikuwa CCM.
Lakini kutokana na UOZO uliopo tukaamua kujiondoa na kushabikia UKAWA.
Lazima tuwaondoe Viongozi wabovu wa CCM madarakani mwaka huu.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
DUUUU UMEVUTA BANGI LA MALAWI? au NI VIROBA VYA CHADEMA VIMEANZA KUFANYA KAZI?Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
Huyu ana laana ya kumtelekeza baba yake, Aende tu mwana kwenda
Pamba4Hatimaye na sisi CDM tumepata mgombea Urais bora tena anatoka CCM
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
Hatimaye na sisi CDM tumepata mgombea Urais bora tena anatoka CCM