Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.
Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
Atakutana na mwanafunzi wake aliyewahi kumtibu kichaa. Sijui kama wataelewana. Bado mengi yatajitokeza. Tusubiri.