Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,246
- 27,502
Kwahiyo alikua kaenda kusoma kilimo au kupigana na hamas?Na Justine Mtenga wa Rombo naye alikuwa mpiganaji wa IDF, dawa ya mafirauni wafuga majini ni Israel waendelee na kazi huko Gaza mpaka wasalimu amri. Mnatetea mauaji ya mtanzania mwenzenu!!! Mmelaaniwa wasaliti kutetea manwana zenu. Hata kama alikuwa askari hakuwa na silaha sheria kuhusu prisoners of war zipo wazi, walimuua kwa kuwa walimuona Mweusi hana thamani kwao kumteka.
Israel wameshambuliwa bila Sababu?tuendelee kuwalaani kwa kitendo cha kuishambulia israel oktoba 7
sawa ngoja nitumie akili alizonipa MunguAchana na dini tumia akili yako alokupa Mungu, dini nyingi ni uongo tu.
Vita sio vya kushabikia kabisaAccumen Mo, post: 48894118, member: 666454yule ni raia wa nchi yako, unatakiwa uone ufahari kajiunga na jeshi la israel. Je angejiunga upande wa hamas ungejisikiaje?
Ni kashfa kubwa kuhusu Joshua Mollel na serikali.Huyu alikuwa askari, Ile pensi/boxer ya kijeshi iliyoonekana amevaa wakati akiburuzwa inafikirisha!!
Yawezekana alijiunga na jeshi la Israel Kwa Siri bila "sirikali" ya Tz kufahamu, ama Siri Kali ilipeleka vijana huko ikijua watakwenda kufanya nini, ila ikatumia chambo ya kilimo!!!
Hili litakuwa ni gumu Kwa sir-kale kukiri hadharani!!
Mtz aliyeuwawa akipigana Urus Hadi Leo kimyaaaaa!!!!
Haya na hiyo bullet proof alivaa ya nin? Kasema baba yake siyo mimi. Na alikua na wanajeshi wa 5 ambao waliuliwa hapo hapo bado tu akili yako haijafunguka? Hata kama huwapendi hamas lakini penye ukweli simama kijana wetu alikua anapigana upande wa IDF sasa mwanajeshi kufa vitani ni ajabu?Hebu acheni akili zenu hizo. Chupi za kijeshi ndiyo huwa zipoje hizo?
Ile chupi ni ya jeshi la nchi gani? Hata mavati ya Jeshi la Israel mnayajua kweli?
Clemence na yeye aliuawa baada ya kukutwa kavaa chupi ya jeshi? Raia wengine wa nchi nyingine waliouawa na walioachiwa na wao walikuwa mamevaa mavazi ya kijeshi? Mnatengeneza story zisizo na kichwa wala miguu ili ku justify mauaji wa kijana Mtanzania mwenzetu ili muwasafishi Magaidi wa HAMAS kisa mna share dini
waliwatimua wahamiaji waliovamia ardhi yao tangu enzi za mababu zao, wahamiaji wanadai ardhi ni yao na kuwashambulia wenye ardhi tangu enzi na enziIsrael wameshambuliwa bila Sababu?
Maelezo ya baba mzazi yameweka wazi kuwa alikuwa askari.Katumia neno alikuwa kambini.Kufuatia kifo cha Mtanzania Joshua Mollel aliyeuwawa na kundi la Hamas, Baba yake mzazi amefunguka na kusema kuwa alifika eneo alilokuwa akiishi na mwanae ambapo alipata taarifa kuwa kundi la Hamas liliwavamia na kisha kuua wanajeshi watano, ambao walikuwa wakiishi eneo Moja na Joshua!
Ameeleza pia Joshua alikutwa akiwa amevaa Bulletproof, ambapo walimchukuwa na Kisha baadae kumuua.
Kwa maelezo hayo hakika imeendelea kuleta sintofahamu, iweje Joshua ambaye alikwenda Israel Kama mwanafunzi, kuishine eneo Moja na wanajeshi hao waliouwawa pia.
Vile vile suala la kukutwa akiwa amevaa Bulletproof nalo ni kitendawili, kwamba je alipewa avae kama raia wa kawaida ama ni mazingira gani yalipelekea kuvaa hizo bulletproof.
Lakini pia ikumbukwe Hadi Sasa mwili wake haujapatikana na haieleweki Hamas walikouifadhi ama kuupeleka.
Hivyo ni vyema serikali ikaja na majibu sahihi kufuatia hili jipya lililoibuka.
View: https://www.instagram.com/reel/C1crB_6KGs0/?igsh=OGY3MTU3OGY1Mw==
ni kweli vita si ya kushabikia huzoa mpaka wanafunzi wa shule na kuwageuza chamboVita sio vya kushabikia kabisa
Ubaya upo maana training au mazoezi anafanya kwa kuwalenga Hammas ulitegemea wamuache?kama alienda kwenye mafunzo ya kijeshi kuna ubaya gani? Mbona fresh tu tukiwa na makomando waliopata mafunzo israel.
Katibu mkuu wa UN anajua kuliko wewe.Israel wameshambuliwa bila Sababu?
Nimemuuliza swali jamaa anayesema Hamas walaaniwe Kwa kuishambulia Israel.Katibu mkuu wa UN anajua kuliko wewe.
Kinacho leta sinto fahamu ni serikali kutojitokeza kutolea ufafanuzi wa hili jambo wamekaa kimia sijui wana ficha nn hasa ambacho hatutakiwi kujua ,yaani maccm ni majitu ya hovyo sana.
Kama ungekuwa smart ungejua kuna maswali ambayo hayajibiwaMagaidi wa kiislamu wafusia wa allah kundi la Hamas ndio walio muuwa Joshua
Na balozi anaewakilisha palestina na eneo la gaza tunae hapa nchini.
Hiyo Octoba 7 walikua wanaua na kuteka wanajeshi peke yake? Wale watoto wote waliouawa ni wanajeshi? Wewe ukiona mashambulizi kama hayo ukaona sehemu inayo kugarantee usalama hataenda? Kiona bullet proof hautichukua uivae kujilinda? Au ukipewa hsutaipokea?Haya na hiyo bullet proof alivaa ya nin? Kasema baba yake siyo mimi. Na alikua na wanajeshi wa 5 ambao waliuliwa hapo hapo bado tu akili yako haijafunguka? Hata kama huwapendi hamas lakini penye ukweli simama kijana wetu alikua anapigana upande wa IDF sasa mwanajeshi kufa vitani ni ajabu?
Yule mzee kapagawa na wanamchanganya tu ,media za kibongo jau sana yaani hata hajatulia plus kupoteza mtoto hata sikukuu hajakuwa fresh...kuna sehemh kasema 2029.Nikifikiria kijuu juu tu, Serikali ipo kimya kwa kifo cha raia wake kwa sababu haitaki kuchukua upande katika hilo sakata la middle East
Imagine, Inaacha mzazi wa mtu husika ahojiwe kwa issue very sensitive na kama hiyo haitoshi, anaachiwa kutoa taarifa ambayo haipo wazi yenye kuleta confusion ambayo imeegemea katika kuleta justification ya kifo.
Sijui ni nini cha kufikiria ila nina uhakika matukio mawili yanaonesha kuna damage control.
Tatizo wanafikiria content tu lakini bado sichukulii hiki kitu kama ni cha kawaida.Yule mzee kapagawa na wanamchanganya tu ,media za kibongo jau sana yaani hata hajatulia plus kupoteza mtoto hata sikukuu hajakuwa fresh...kuna sehemh kasema 2029.
Mzee wamempeleka huko sio sawa naona kwa vile tayri dogo kashakufa na mwili wanadai haupo ,sasa kaenda kufanya nn?
Wamuache jamani yule ni binadamu bado apate dhihaka huko mitandaoni 🥹🥹 watu watamfanya meme.