Hamad rashidi na mtatiro watofautiana juu ya mswada wa mchakato wa katiba

Apta Kayla

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
324
71
Kwa waliosikiliza kipindi cha Baragumu cha Channel Ten asubuhi hii watakuwa wamesikia maoni ya Hamadi Rashidi kuwa Mswada huo ni mzuri na watanzania tunatakiwa kuunga mkono, baada ya kipengele cha mada kuisha waaendeshaji wa kipindi waliona ni busara kupata maoni ya kiongozi mwingine wa CUF na Mtatiro akapigiwa simu, kwa nguvu za Hoja like jinsi Rais alivyo na madaraka makubwa katika mchakato huu kuanzia kuteua wajumbe wa tume maalum na mambo mengine, Mtatiro ametamka wazi mswada huo ni MBOVU na haufai kwani unajenga Msingi Mbovu kuelekea kupata Katiba Mpya, Hii mnaionaje great thinkers?
 
Mhhhhhhhhhhhh nijuavyo mimi CUF Zanzibar na CUF Tanganyika......ni vitu viwili tofauti sasa sishangai.....:rip:CUF
 
Nafikiri kuna watu waliwahi kusema Mtatiro yupo katika chama kibovu, hato kaa apatane na Rashid wajua Rashid sasa hivi kazio yake ni kuipa dole CCM ili tu awaudhi CDM
 
Tukiweka tofauti za hawa personalities pembeni, binafsi sioni kama tayari document iliyoandaliwa na kuitwa rasimu ya katiba mpya imekidhi matakwa hayo. simaanishi kuikosoa kwa kila kipengele. Namaanisha kuwa elites have done it again, their way for their interests. Kwa wananchi walio nje ya cream ya wenye elimu, wenye connection, wenye opportunity za kuchangia-kama hapa JF, katiba ni neno ambalo wanaletewa tu-- kama vyombo vya habari vitaamua kulitaja, na kama kesho yake vikirudi kwa babu, sawa, na wao watabaki wakipapasa gizani.

A huge chance to include the public is being lost here. Unless someone makes a u-turn, the process will be dominated with NGO leaders, academics, and politicians. At the worst politicians will hijack the whole discussion. it will hinge on politics alone. Far as I am concerned politics is just a portion of the huge agenda. Katiba must involve even people who do not speak and those who do not want to speak!
 
Nafikiri kuna watu waliwahi kusema Mtatiro yupo katika chama kibovu, hato kaa apatane na Rashid wajua Rashid sasa hivi kazio yake ni kuipa dole CCM ili tu awaudhi CDM

siku hizi sioni tofauti kati ya Hamad Rashi na Sofia Simba
 
Hapa jamani, msimsingizie huyu baba jamani kwa atakua kweli katamka mwenyewe hayo maneno akiwa katika hali tu ya kawaida Hamad Rashid huyo??????????????

Kwa waliosikiliza kipindi cha Baragumu cha Channel Ten asubuhi hii watakuwa wamesikia maoni ya Hamadi Rashidi kuwa Mswada huo ni mzuri na watanzania tunatakiwa kuunga mkono, baada ya kipengele cha mada kuisha waaendeshaji wa kipindi waliona ni busara kupata maoni ya kiongozi mwingine wa CUF na Mtatiro akapigiwa simu, kwa nguvu za Hoja like jinsi Rais alivyo na madaraka makubwa katika mchakato huu kuanzia kuteua wajumbe wa tume maalum na mambo mengine, Mtatiro ametamka wazi mswada huo ni MBOVU na haufai kwani unajenga Msingi Mbovu kuelekea kupata Katiba Mpya, Hii mnaionaje great thinkers?
 
Back
Top Bottom