Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,206
- 162,774
Hiyo ni kauli ya Zitto ambapo gazeti limeripoti akisema watamkoma na huku Hamad Rashid akisema ataondoka na wengi.
Kichwa cha habari katika gazeti kinasomeka:
"Zitto:Watanikoma"
CHANZO:Jamboleo
My take;
Kama kweli hayo ndio matamshi ya Zitto,basi huyu dogo ni very arrogant na hapaswi kuhurumiwa hata kidogo.