Hamadi hakumbuki kama alikuwa kiongozi wa upinzani bungeni. Anachofanya sasa anathibitisha kuwa alikuwa anawasaliti wenzake wakati akiwa kiongozi wao.
Hamadi hakumbuki kama alikuwa kiongozi wa upinzani bungeni. Anachofanya sasa anathibitisha kuwa alikuwa anawasaliti wenzake wakati akiwa kiongozi wao.
Hamadi njaa mbya sna..unasaliti utu wako kisa njaa..pole sana hamadh
Viongozi
wetu wachague
maneno
ya kuzungumza !
Boko haram!
.hapana !--!!
Mbunge wa wawi hamad rashid amesema ukawa ni boko haram,wanaeneza chuki serikal inawangalia tu.magezeti asubuhi rfa
Tofauti yake ni kwamba boko haram iko nigeria wakati ukawa iko tanzania, hakuna tofauti ingineHajui anachosema huyu
UKAWA na BOKO HARAM tofauti kabisa huwezi kuwafananisha kwa namna yeyote ile!!