Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 610
Kama 2 ziliwezekana kwanini 3 zisiwezekane??uzoefu wa serikali 2 upo wapi duniani?inakuwaje mtu anaongea kwa lengo la kufurahisha watu fulani?serikali 2 ni ulaghai wa ajabu!!nchi ndani ya nchi!!mipaka ndani ya nchi!!amiri jeshi wakuu wawili ndani ya nchi!!
Suruhisho hapa ni serikali moja
Mwambie Marekani wana serikali tatu kwa maana wana United States (serikali ya Muungano) na utitiri wa serikali aina ya Tanganyika na Zanzibar (states). Hata kule Nigeria - wana Federal State halafu serikali nyingi (usiseme majimbo maana utararuliwa hapa).