firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 24
Uzoefu wa Serikali 2 uko wapi?
Uko hapa hapa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tena ipo kwa zaidi ya miaka 40
Uzoefu wa Serikali 2 uko wapi?
Haitotokea siku hiyo, hawa hawana ubavu wa kumpinga mbowe, mbowe kwao ndio kila kitu, na chadema kama unamuabudu mbowe humpingi then utadumu humo vinginevyo...subirini siku LISSU au MNYIKA wakiwa wabunge wa Mahakama ndiyo mtajua haki inatafutwa mahakamani.
Unatumia kiungo gani kufikiri?Uzoefu wa Serikali 2 uko wapi?