Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 665
okay.... kwa hiyo kikao kilichowafukuza kilikuwa halali meaning walifukuzwa kihalali...Mahakama imejiridhisha kwamba, amri ya mahakama kuu ya kusitisha kikao cha BARAZA KUU kilichowafukuza uanachama HR na wenzake wanne haikufikishwa kwa chama kwa hivyo kikao husika kilikuwa halali.
kesi ya msingi kivipi tena wakati ushasema mahakama imeamua kwamba kikako kilichowafukuza kilikuwa halali, hiyo sio kesi ya msingi? Kesi ya msingi maana yake nini?Kesi ya msingi ambayo HR na wenzake waliifungua kupinga uhalali wa KAMATI YA MAADILI YA CHAMA itasikilizwa tarehe 28/01/2013