mwanzoni alivuruga ccm akatimuliwa, kavuruga cuf akatimuliwa, hamuoni huyu mtu ana cv yenye utata?? Kwani cdm ni jalala?
WOWOWO Hivi Hamad na Mtatiro wana utafauti wowote? Labda Sura lakini si wote wako kwenye Payroll ya CCM kuuvuruga UPINZANI? TAFAKURI
kutoka mujibu wa julius mtatiro...
my take
nini hatma ya hamad rashid kisiasa maana ni wazi upepo si mzuri kwake?
Je ni wakati sasa wa cdm kufikiria kumpa nafasi mh. Rashid ili kuendelea kujijenga visiwani zanzibar baada ya kuwa na makada wa aina ya profesa safari?
Ni wazi mchango wa hamad rashid katika kuleta mageuzi nchini si wa kubeza. Aliweza kuiongoza kwa ushupavu kambi ya upinzani bungeni 2005-2010 na ikaleta matunda mazuri. Pamoja na kuhusishwa na adc (hakuna ushahidi) anaweza kupewa nafasi cdm?
Tujadili hoja, bila matusi
Pole sana Hamadi Rashid kwa msiba wa mke wako.
Julius Mtatiro, tafadhali nisaidie majibu ya maswali haya:-
Nani ka kwakwambia kwamba CDM wanamtaka Hamad kuimarisha chama visiwani?
Mambo ya CDM yanakuhusu nini wewe Kama kiongozi mkubwa wa chama Chako?
Huoni Kama unapoteza muda kwa kitu ambacho hakikuhusu?
Nakubaliana na wewe kamanda, kuna watu humu jf wanadhani chadema itakuwa na kushinda urais pasipokuwa na ujanja wa kuwinda nyenzo muhimu kama hizi, ndo maana ccm wanasumbua kwasababu huwezi kuwasikia wanamkataa mwanasiasa kutoka upande wa pili maana kila mtu ana nafasi yake kwenye mchezo huu, hamad, sumaye, hata wasira waje tu cdm ili chama kiimarike tuache ushabiki usiokisaidia chamaNadhani CDM inahitaji zaidi ya kuongeza watu wenye majina ya kiislamu ili kufuta/kuondoa au kupunguza dhana ya udini inayokigubika chama hicho.
Prof. Safari hajawa na impact yeyote so far
Nampa pole kwa kufiwa na mke mdogo. Inaonekana hawa wapemba mke mbili ndio utaratibu wao.
Udini umepandwa na ccm na umeanza kuota, kujifanya hujui ni kujidanganya tu, isipokuwa nadhani itafutwe namna rahisi ya kuondoa hayo mapando, kwangu naamini chama kama chadema kimeathiriwa sana na hii propaganda ya udini kuliko ile ya ukanda, na ndo maana kinapata shida sana kujiuza mikoa ya pwani, kama kitampata mtu kama Hamad rashid na wenzake, kitajenga taswira inayoweza kukisogeza hatua kadhaa mbele kwa urahisi zaidiudini imekuwa lugha nyepesi hapa jf, ila hilo mnalolipalilia na kulishabikia, kuna siku mtaliona. Si mimi wala wewe atakayepitwa na hili. Madhara yake makubwa sana.
Tamaa zenu ambao mpo na mamlaka na hamtaki kuyaachia,,,na wale mnaotaka mamlaka hayo. Kimsingi nyie ni wabaya na humu jitambulisheni kwa majina yenu, sio mnajipa mijina uchwara kwa ajili ya kuleta chokochoko.
CDM haihitaji mtu desperate kama wewe. Aje CDM kufanya nini? Huyu tayari ana chama chake ADC.Hamad Rashidi ni mwanasiasa mzuri tu kama hana nafasi huko mimi napendekeza aje CHADEMA ila aingie kwa Moyo wote sio atuletee siasa za SHIBUDA,na pia apunguze jazba