Julius Mtatiro, tafadhali nisaidie majibu ya maswali haya:-
Nani ka kwakwambia kwamba CDM wanamtaka Hamad kuimarisha chama visiwani?
Mambo ya CDM yanakuhusu nini wewe Kama kiongozi mkubwa wa chama Chako?
Huoni Kama unapoteza muda kwa kitu ambacho hakikuhusu?
Tunampenda mbunge wetu tutamchagua tu
Nampa pole kwa kufiwa na mke mdogo. Inaonekana hawa wapemba mke mbili ndio utaratibu wao.
Kutoka mujibu wa Julius Mtatiro...
My Take
Nini hatma ya Hamad Rashid kisiasa maana ni wazi upepo si mzuri kwake?
Je ni wakati sasa wa CDM kufikiria kumpa nafasi Mh. Rashid ili kuendelea kujijenga visiwani Zanzibar baada ya kuwa na makada wa aina ya Profesa Safari?
Ni wazi mchango wa Hamad Rashid katika kuleta mageuzi nchini si wa kubeza. Aliweza kuiongoza kwa ushupavu kambi ya upinzani bungeni 2005-2010 na ikaleta matunda mazuri. Pamoja na kuhusishwa na ADC (hakuna ushahidi) anaweza kupewa nafasi CDM?
Tujadili hoja, bila matusi
Siyo mpemba ni muongozo na sharia ya dini ya kiislam ndiyo inayoturuhusu kuongeza mke zaidi ya mmoja mwisho 4 tofauti na wakiristo mke 1 hata ikiwa hakutoshelezi kuna na wale masista ambao hawaolewi wakishikwa na Nye.. ni kashafa tu.
Ukiwa muislamu hata wewe unaweza kuoa 1-4. ndio utaratibu aliotufundisha mtume wetu Muhammad (SAW)na ilivyothibitishwa na kitabu kitakatifu Quran.
Traitors have started with the wrong foot!! The damn traitor HR is out!! nakumbuka aliuita UKAWA eti ni UPAWA!!Kutoka mujibu wa Julius Mtatiro...
My Take
Nini hatma ya Hamad Rashid kisiasa maana ni wazi upepo si mzuri kwake?
Je ni wakati sasa wa CDM kufikiria kumpa nafasi Mh. Rashid ili kuendelea kujijenga visiwani Zanzibar baada ya kuwa na makada wa aina ya Profesa Safari?
Ni wazi mchango wa Hamad Rashid katika kuleta mageuzi nchini si wa kubeza. Aliweza kuiongoza kwa ushupavu kambi ya upinzani bungeni 2005-2010 na ikaleta matunda mazuri. Pamoja na kuhusishwa na ADC (hakuna ushahidi) anaweza kupewa nafasi CDM?
Tujadili hoja, bila matusi
Wanaoa kama ambavyo mudi alikuwa anafanya vilevile compendium yao wanayoita Quran inahimiza hivyo
Sorry mkuu siyo mudi ni Muhammad (S.A.W)
Siyo mpemba ni muongozo na sharia ya dini ya kiislam ndiyo inayoturuhusu kuongeza mke zaidi ya mmoja mwisho 4 tofauti na wakiristo mke 1 hata ikiwa hakutoshelezi kuna na wale masista ambao hawaolewi wakishikwa na Nye.. ni kashafa tu.
Ukiwa muislamu hata wewe unaweza kuoa 1-4. ndio utaratibu aliotufundisha mtume wetu Muhammad (SAW)na ilivyothibitishwa na kitabu kitakatifu Quran.
Aisee pole sana hamadi.Pole sana Hamadi Rashid kwa msiba wa mke wako.
Nampa pole kwa kufiwa na mke mdogo. Inaonemkana hawa wapemba mke mbili ndio utaratibu wao.
Akaribishwe CDM. Na nafikili anaweza hata kugombea Ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CDM. Mnasemaje wadau