Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Sorry mkuu siyo mudi ni Muhammad (S.A.W)
Aka marehemu Mudi!
Sorry mkuu siyo mudi ni Muhammad (S.A.W)
Tuwaache wafu wazikane, maana kilaza Mtatiro hata point zake hatuzioni,
zaidi ya kuone tarehe ya kesi 28/01/2013 na pole ya msiba
mr.London, nani kakwambia wake wanne wanaondoa tamaa ya kuchepuka? Mbona MICHEPUKO bado ipo?
Kisayansi mwanamke ndo alipaswa kuwa na mume zaidi ya mmoja!
Uislam wako unasema mwamed alikuwa na uwezo wa kuwaridhisha wanawake 30, WORLD RECORD HOLDER na alikuwa na wanawake wa kuoa na watumwa zaidi ya 30.
hili la masista ni utaratibu wa kanisa na si ukristo hivyo sitalisemea