Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Kwani we mwanafunzi?Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka settings za halotel, maana Jana nimejiunga na bando la chuo lkn sipati mtandao kabisa.
Kwani we mwanafunzi?Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka settings za halotel, maana Jana nimejiunga na bando la chuo lkn sipati mtandao kabisa.
Asante mkuuKaribu kipili mkuu
Labda tatizo liko kwenye eneo unalo ishi. Ukweli Halotel wako v izuri sana.Nina Halotel lakini kiukweli sijaweza kuitofautisha na tigo wako kawaida sana afu unlimited bando zao hazina speed kabisa!
mimi nipo dar nilinunua line ya halotel kwa ajili ya ku download movie na series nikajiunga na zile gb 18 kwa 1,500 za kuanzia saa sita hadi saa 12(masaa 6), ila asubuhi nilipoamka nikakuta ni gb 1.8 tu ndio imeweza ku download, ila nilipojiunga na voda ya 4gb kwa 1,500 hiyohiyo kuanzia saa 5 hadi saa 11(masaa 6)Kwa Style hii Halotel wamekuja kumaliza figisufigisu tulizoteseka nazo kwa muda mrefu kwa huduma duni na zisizo na uhakika ambazo tunekua nazo kwa miaka!
Ki ukweli Data Speed yao ni ya 3g lakini kasi yake ni zaidi hata ya hiyo 4g zao!sijui wakileta 4g itakuaje,Asanteni sana Halotel kututoa hapa tulipo kwama kwa kipindi kirefu ni wazi baada ya miezi 3/4 sijui kama atabaki mtu huku kwa zilipendwa!
Nimependa sana Wifi gadget yenu ya 90 alfu mnayoweza share hadi watu 10 na Speed yake ni hapohapo ukigusa tu!
Hongera sana Halotel Niwahakikishie kwa kwa Kasi Hii Mijini na Vijijini Mtasababisha wengine wote waliotangulia waachane na biashara ya Data,Uwanja ni wenu tutegemee zaidi ya Hapa,Karibuni Halotel mtandao namba moja Nchini kwa Internet Bora na Kiwango
mimi nipo dar nilinunua line ya halotel kwa ajili ya ku download movie na series nikajiunga na zile gb 18 kwa 1,500 za kuanzia saa sita hadi saa 12(masaa 6), ila asubuhi nilipoamka nikakuta ni gb 1.8 tu ndio imeweza ku download, ila nilipojiunga na voda ya 4gb kwa 1,500 hiyohiyo kuanzia saa 5 hadi saa 11(masaa 6)
nilifanikiwa kushusha gb 3.1za series ileile, sasa hapo voda si ndio wapo vizuri?
voda wapo vizuri kuliko hawa halotel kwani hata zile gb 4 za usiku wanazokupa unazitumia kwa usiku mbili (leo na kesho yake) ila halotel gb 18 zao wanakupa usiku 1 tu wa masaa 6, na vifurushi vingine vyote vya halotel havitofautiani na voda kwa kiwango cha data wala gharamaNi kweli Mkuu unachoongea. Nami nmefanya vivyo hivyo.
Nmefanikiwa ku download 1.2GB. Voda wako vzuri sana.
ww utakuwa mfanyakazi wa airtel au tigo na voda maana huko wanachechemeaNina Halotel lakini kiukweli sijaweza kuitofautisha na tigo wako kawaida sana afu unlimited bando zao hazina speed kabisa!
wifi gadget ni kakifaa kakuunganisha computer na mtandao ambapo unaweza kuunganisha kompyuta kadhaa sasa inafanya kazi kama wireless unaunga kompyuta 10 kwa speed kaliiiiiwi-fi gadget ndiyo nini wakuu?
sina uhakika km watakuwa bora hivo milele.nadhani ni kivuta wateja.
Mtakuwa mnatatizo wakati mie nikiunga lazima nishushe Gb 13 nakuendelea vitu vyote vinaishaNi kweli Mkuu unachoongea. Nami nmefanya vivyo hivyo.
Nmefanikiwa ku download 1.2GB. Voda wako vzuri sana.
Ni kitu gani hasa!! Router,Proxy Server nk?wifi gadget ni kakifaa kakuunganisha computer na mtandao ambapo unaweza kuunganisha kompyuta kadhaa sasa inafanya kazi kama wireless unaunga kompyuta 10 kwa speed kaliiiii
unaishi wapi?Mtakuwa mnatatizo wakati mie nikiunga lazima nishushe Gb 13 nakuendelea vitu vyote vinaisha
Kwani halotel wana minara yao??Halotel wako vizuri.3G ilikuwa mikoani na wilaya flani flani kwa mitandao kongwe ila Halotel 3G KILA penye mnara wao.Speed yao IKO mzuri sana.
Nilifikiri ni Mimi tu peke yangu kumbe tupo wengiNina Halotel lakini kiukweli sijaweza kuitofautisha na tigo wako kawaida sana afu unlimited bando zao hazina speed kabisa!
HAWANA LOLOTE JIPYANilifikiri ni Mimi tu peke yangu kumbe tupo wengi