Haloteli Mkombozi wa Kweli Kwa Watumia Mtandao,Hongereni Sana!!

Haloteli Mkombozi wa Kweli Kwa Watumia Mtandao,Hongereni Sana!!

Halotel ni moto wa kuotea mbali asikwambie mtu. Yaani ni kuweka data on kishawaka kama ukisogeza kiberiti kwenye gesi. Hongera halotel
 
Kuna hawa wanajita wagifutishe i see wanaboa yaaan ukiacha pesa tasilim kwenye balance wanakula... Wakati uko na bundle
 
Halotel wako vizuri.3G ilikuwa mikoani na wilaya flani flani kwa mitandao kongwe ila Halotel 3G KILA penye mnara wao.Speed yao IKO mzuri sana.
 
Wapo vizuri kwa sababu watumiaji wake bado ni wachache, subiri wapate wateja wa kutosha ili traffic iongezeke, hutaitofautisha na tigo.
First, bado wanafanya marketing kwa vile ndio wanaanza, second wana wateja wachache. Subiri wawe na idadi ya voda ndio uwapime
 
Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka settings za halotel, maana Jana nimejiunga na bando la chuo lkn sipati mtandao kabisa.
Ingia settings>mobile network>access point names>apns>new apn>kweny name andika HALOTEL_APN kweny apn andika internet, apn type weka default, username mms kuisha save baad ya hapo endelea kufurahia hudum nzur za halotel
 
Back
Top Bottom