dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,589
- 60,790
aisee,Wacha usiku ni subscribe Ramadan Ofa ya 1k nitetemeshe server!
aisee,Wacha usiku ni subscribe Ramadan Ofa ya 1k nitetemeshe server!
Mimi niliwauliza kabisa kama wana 4G wakasema hawana, lakini wanategemea kuleta hivi karibuni. Sijui wakuu wanapataje such speedsHio ni 80mbps, sio mchezo mkuu, Voda mwenyewe akasome, speed kubwa ya Voda kuona ni 60mbps.
Hope na wao hawatapandisha Bei ya vifurushi.
Dar nimejaribu mawakala kibao, story na ujanja ujanja mwingi Ila line hawana, sijaenda makao makuu bado.
Hii band kweli kwa TZ sijawahi iona ona kwenye network ya 4G kuliko 1800 na 28002600, sio band common, Hapa lazima kuwe na heshima kwa wenye iPhone/Samsung ama flagship na mchina wa Bei rahisi.
Mimi niliwauliza kabisa kama wana 4G wakasema hawana, lakini wanategemea kuleta hivi karibuni. Sijui wakuu wanapataje such speedsHio ni 80mbps, sio mchezo mkuu, Voda mwenyewe akasome, speed kubwa ya Voda kuona ni 60mbps.
Hope na wao hawatapandisha Bei ya vifurushi.
Dar nimejaribu mawakala kibao, story na ujanja ujanja mwingi Ila line hawana, sijaenda makao makuu bado.
nenda makao makuu ya haloteli mahala husika wana swap line, matawi madogo hawana hizi line kwa sasaMimi niliwauliza kabisa kama wana 4G wakasema hawana, lakini wanategemea kuleta hivi karibuni. Sijui wakuu wanapataje such speeds
what about modems. Wana modem za 4G?nenda makao makuu ya haloteli mahala husika wana swap line, matawi madogo hawana hizi line kwa sasa
sijaulizia mkuu, ila modem za 4g za bei rahisi ni zantel unapatawhat about modems. Wana modem za 4G?
Router yangu ni Huawei E5377 Model Bs-605 lakini sipati 4G ya Halotel.2600, sio band common, Hapa lazima kuwe na heshima kwa wenye iPhone/Samsung ama flagship na mchina wa Bei rahisi.
Nimeicheki online inAyo band 2600 mkuu, line uhakika Ni ya 4G, eneo ilipo coverage ipo?Router yangu ni Huawei E5377 Model Bs-605 lakini sipati 4G ya Halotel.
Kwa halotel mkuu kuwa mvumilivu hadi mwishon mwa mwezi au mwezi wa kumi mwanzoni ,naona uongozi wao wamewapa maagizo kwamba wasifanye sim swap kwenda 4g,hadi watakapowaruhusu,maana ilikuwa sio officialMkuu wapi uhakika unajua wanaswap? Maana nimezunguka Sana na hata customer care hawatoi ushirikiano.
Bado sijaswap line.sijaulizia mkuu, ila modem za 4g za bei rahisi ni zantel unapata
D-Link DWM-222
kwa shilingi 25,000 na unaweza kui unlock itumie mitandao yote kwa kuflash software toka official website ya dlink.
nimecheki online ina band 800/1800/2600 hivyo itakubali halotel 4g, sema ni vyema wadau wenye hii modem waki confirm kwanza.
Shaffin Simbamwene
Victoria karibu na mwenge ndio nimezikuta mkuu, pia Kuna gb za kutosha unapata.Bado sijaswap line.
Nipe Ramani kesho nikaswap tuone!!!
Afu One A2005 yangu itapata uhai asee
Ngoja nikawaibukie kesho then nitaleta mrejesho wa DWM-222Victoria karibu na mwenge ndio nimezikuta mkuu, pia Kuna gb za kutosha unapata.
Naona Voda mnataka kuzuia Counter attack!!!Kwa halotel mkuu kuwa mvumilivu hadi mwishon mwa mwezi au mwezi wa kumi mwanzoni ,naona uongozi wao wamewapa maagizo kwamba wasifanye sim swap kwenda 4g,hadi watakapowaruhusu,maana ilikuwa sio official
Line ya 4G nimeswap hapa Mwanza nitajaribu tena Dar wiki ijayo.Nimeicheki online inAyo band 2600 mkuu, line uhakika Ni ya 4G, eneo ilipo coverage ipo?
Shukran kwa mrejesho mkuu,Chief-Mkwawa Tayari nimeswap kwenda 4g ila maeneo ya huku kwetu haipo stable.
Oneplus 2 A2005 Inasoma ukiforce kwenye 4G only.
Modem ya Zantel DWM-222 ukiiswitch kwenye 4G haisomi hata kwa dawa.
Nahisi hii modem Itakuwa inatumia band 38(2600MHZ) na Siyo band 7(2600MHz) ya hawa Halotel.
View attachment 1203681
Poa poa.Shukran kwa mrejesho mkuu,