Ukiomba mkopo Halotel kwa ajili ya dharura muda wa maongezi majibu utakayojibiwa utatamani uhame mtandao saa ile ile.
Jibu lao alieliandaa nadhani ni MWEHU wa akili kwa sababu unaambiwa utapata mkopo endapo laini yako iko matumizini kwa zaidi ya miezi 3 wakati laini ina zaidi ya miaka 3 na zaidi. Pia unaambiwa huwezi kupata mkopo mpaka uwe una salio lisilozidi kiasi fulani cha pesa.
Sasa kama nina salio kwa nini niombe mkopo?
Tunawaomba Halotel watoe hiyo lugha chafu inayonuka uvundo wa dharau ya hali juu.
Jibu lao alieliandaa nadhani ni MWEHU wa akili kwa sababu unaambiwa utapata mkopo endapo laini yako iko matumizini kwa zaidi ya miezi 3 wakati laini ina zaidi ya miaka 3 na zaidi. Pia unaambiwa huwezi kupata mkopo mpaka uwe una salio lisilozidi kiasi fulani cha pesa.
Sasa kama nina salio kwa nini niombe mkopo?
Tunawaomba Halotel watoe hiyo lugha chafu inayonuka uvundo wa dharau ya hali juu.