Utoto huo, hizi limitation za kijinga jinga zipo Africa tu. Ulaya internet unailipia kama Bima. Aidha utatumia ama usipotumia wenzio watatumia sehemu yako uliochangia na mtandao ni wa kasi ya ajabu bila limits hata uache laptop ina stream youtube mwezi mzima huduma haikati.
Ni wewe tu utachagua uache kazi ushinde mtandaoni au uende kazini maana mwisho wa mwezi bills zinakusubiria na hamna msalia mtume, ulaya hamna mda wa kupoteza labda uwe filthy rich.
Sasa si utoto huo, wanajua kabisa muda wa ala za roho wenye mabibi zao watakuwa wanabinjuana tu. We umetengewa papuchi utakimbilia laptop??? Nevaaa!!! Wao ndio wanatembea na hilo Gap utajikuta kwenye GB4 utakuwa umetumia moja tu maana mpaka kufikia saa 6 usiku ushapiga vitu vyako umelala.Hata ttcl nao wanalimitations kwenye Kifurushi flani Unapewa GB 4 ila GB 3 unatumia usiku tuu
Ila hakikatishi hata siku 3Gharama mara mbili nikiisaka gb 1
Voda ninapata gb1, dakika 150voda na 15 mitandao mingine sms bila kikomo kwa wiki kwa 1500.
Naomba nieleweshe vizuri hapa mkuuYaaah huwa napiga hicho, then night napiga kile cha unlimited kwa 1000, nikinunulia kwa halopesa ni 900. Na speed ni nzuri
Halotel raha sanaaaa.
OoookHahahahahaaaaa
Hapo movie na series kaka ndio zinanimalizia mb.
Hiyo bundle ya night inaanza saa ngapi?Hapo ndio patamu...
Ila kwa hiyo pesa 10000 afadhali waweke limit tu.
Maana huwezi spend 15gb kwa 10000 in one or two days mkuu.
Ni afadhali ujinyime usingizi kwa zile night bundle kwa 1000, 10gb or unlimited.
Nimeona shukrani je unaweza kupakua movie zozote bila limit?Saa 6 Usiku hadi saa 12 Asubuhi.
Sawa Asante mkuuWakati wa kujiunga unatakiwa uchague option ya kukatwa hela kutoka Halopesa ndio kuna punguzo badala ya 1000 wanakata 900.(salio liwe kwenye Halopesa)
Asante mkuu shukraniHakika...
Kama ulipo net sio magumashi hapo ni wewe na Internal yako tu iwe simu ama pc.
Huo unalimit kwahy lazima utoboe yan kwa mwez maana kila siku wanakupa Mb 500Halotel kwangu ndio namba 1 upande wa internet kwa eneo nilipo mimi.
Nimeipenda hii menu ya kwenye halopesa.
Ila najijuaaa nikiweka huu mzigo wa gb15, najua mwezi hauishi nishazimaliza.
hii ni kweli, nishaunga cha usiku, sikutumia hata mb 1! tangu siku hiyo niliwatoa airtel kwenye orodhaKuna mambo mawili mkuu
1. Mtandao unawezakuwa na vifurushi vizuri shida ikawa ni network kulingana na eneo.
2. Mtandao ukawa na speed nzuri shida ikawa bandles zao mb kiduchu.
Mfano hiyo Airtel nilipo mimi ina 3G lakini haifungui hata picha yenye 10Kb.
yaani kama unatumia idm kwa pc au adm kwa smartphone sio lazima ukeshe ni kustart download tu na kulalaWengine wanajua ni lazima ukeshe.
Kuna mambo mawili mkuu
1. Mtandao unawezakuwa na vifurushi vizuri shida ikawa ni network kulingana na eneo.
2. Mtandao ukawa na speed nzuri shida ikawa bandles zao mb kiduchu.
Mfano hiyo Airtel nilipo mimi ina 3G lakini haifungui hata picha yenye 10Kb.
nimejiunga mapema jana hii ni kwa wale wenye line za chuo peke yake ama wote mkuu?Kwa kupitia menu yao ya halopesa,yaani *150*88#,kisha namba 3 yenye vocha na vifurushi,kisha namba 2 yenye mega bando, halotel wanakupa mb 500 na dkt 50 kwa siku kwa sh500,1gb na dk 100 kwa wiki kwa sh 1000 na gb 15 kwa mwezi kwa sh10000.Ahsante Halotel.Mkombozi wa mawasiliano vijijini.
ni simu yako not simcard au eneo uliopo upo nanjilinji mkuu?Network mbovu.
Simalizi Mb 20 kwa siku
Network yao ndo shidani simu yako not simcard au eneo uliopo upo nanjilinji mkuu?