Mamtolo Senior Member Joined Feb 27, 2018 Posts 195 Reaction score 218 Apr 22, 2019 #101 Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500
Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500
Kibumbula JF-Expert Member Joined Mar 26, 2018 Posts 3,690 Reaction score 3,382 Apr 22, 2019 Thread starter #102 Joseverest said: sure mkuu...GB 1 hyo naimaliza kwa masaa kadhaa tu Click to expand... Heavy user?
Kibumbula JF-Expert Member Joined Mar 26, 2018 Posts 3,690 Reaction score 3,382 Apr 22, 2019 Thread starter #103 Mamtolo said: Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500 Click to expand... Ooooooook.
Mamtolo said: Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500 Click to expand... Ooooooook.
Mamtolo Senior Member Joined Feb 27, 2018 Posts 195 Reaction score 218 Apr 22, 2019 #104 Kibumbula said: Ooooooook. Click to expand... Yes...kwa hiyo mzigo lazima utoboe nao siku 30
Oxpower JF-Expert Member Joined Jan 15, 2012 Posts 2,179 Reaction score 3,103 Apr 22, 2019 #105 MC44 said: Network mbovu. Simalizi Mb 20 kwa siku Click to expand... Wanazingua sana.umekuja kuwa mtandao wa hovyo kuwahi kutokea nchini
MC44 said: Network mbovu. Simalizi Mb 20 kwa siku Click to expand... Wanazingua sana.umekuja kuwa mtandao wa hovyo kuwahi kutokea nchini
Kibumbula JF-Expert Member Joined Mar 26, 2018 Posts 3,690 Reaction score 3,382 Apr 22, 2019 Thread starter #106 Mamtolo said: Yes...kwa hiyo mzigo lazima utoboe nao siku 30 Click to expand... Wametusaidia wakumiaji wa kawaida.
Mamtolo said: Yes...kwa hiyo mzigo lazima utoboe nao siku 30 Click to expand... Wametusaidia wakumiaji wa kawaida.
Kibumbula JF-Expert Member Joined Mar 26, 2018 Posts 3,690 Reaction score 3,382 Apr 22, 2019 Thread starter #107 maliedo said: Wanazingua sana.umekuja kuwa mtandao wa hovyo kuwahi kutokea nchini Click to expand... Duuuuuuuuu
maliedo said: Wanazingua sana.umekuja kuwa mtandao wa hovyo kuwahi kutokea nchini Click to expand... Duuuuuuuuu
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Apr 22, 2019 #108 Kibumbula said: Heavy user? Click to expand... Probably
capitalpool JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 22,369 Reaction score 121,267 Apr 22, 2019 #109 Meeyah said: capitalpool Click to expand... *148*66#
capitalpool JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 22,369 Reaction score 121,267 Apr 22, 2019 #110 Mamtolo said: Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500 Click to expand... Bro umetumia hii bundle, ama hisia zako tu?
Mamtolo said: Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500 Click to expand... Bro umetumia hii bundle, ama hisia zako tu?
rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 22,164 Reaction score 43,854 Apr 23, 2019 #111 capitalpool said: Bro umetumia hii bundle, ama hisia zako tu? Click to expand... Sasa wewe hujaoni hilo sharti au???
capitalpool said: Bro umetumia hii bundle, ama hisia zako tu? Click to expand... Sasa wewe hujaoni hilo sharti au???
Pablo Blanco JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 7,328 Reaction score 6,650 Apr 23, 2019 #112 Aisee
E Eghainimalinya JF-Expert Member Joined Feb 6, 2018 Posts 214 Reaction score 267 Apr 23, 2019 #113 Majizi hayo yameniuzia laini kwa elfu 10 Bora nitumie ttcl, nyumbani kumenoga
Kibumbula JF-Expert Member Joined Mar 26, 2018 Posts 3,690 Reaction score 3,382 Apr 23, 2019 Thread starter #114 Eghainimalinya said: Majizi hayo yameniuzia laini kwa elfu 10 Bora nitumie ttcl, nyumbani kumenoga Click to expand... hakuna kitu huko kwako ttcl
Eghainimalinya said: Majizi hayo yameniuzia laini kwa elfu 10 Bora nitumie ttcl, nyumbani kumenoga Click to expand... hakuna kitu huko kwako ttcl
S sony2 JF-Expert Member Joined Feb 6, 2015 Posts 2,337 Reaction score 2,804 Apr 23, 2019 #115 Meeyah said: Ni kweli, lkn Halotel imezidi. Sehemu nyingi internet haishiki vizuri na sio nje ya mji. Click to expand... Uongo
Meeyah said: Ni kweli, lkn Halotel imezidi. Sehemu nyingi internet haishiki vizuri na sio nje ya mji. Click to expand... Uongo
V vous143 JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 434 Reaction score 348 Apr 23, 2019 #116 Sio halotel mkuu Jamaa wako vzr yan MC44 said: Network mbovu. Simalizi Mb 20 kwa siku Click to expand...
Sio halotel mkuu Jamaa wako vzr yan MC44 said: Network mbovu. Simalizi Mb 20 kwa siku Click to expand...
Kibumbula JF-Expert Member Joined Mar 26, 2018 Posts 3,690 Reaction score 3,382 Apr 23, 2019 Thread starter #117 vous143 said: Sio halotel mkuu Jamaa wako vzr yan Click to expand... Umeona eeeeh?
capitalpool JF-Expert Member Joined Sep 18, 2017 Posts 22,369 Reaction score 121,267 Apr 23, 2019 #118 rikiboy said: Sasa wewe hujaoni hilo sharti au??? Click to expand... Situmii mtandao huu kwa mawasiliano, nimeuliza kupata jibu kwa watumiaji. Sikutegemea swali, nilitaka Jibu. Kama ni limited bundle, haiwezi kuwa habari njema.
rikiboy said: Sasa wewe hujaoni hilo sharti au??? Click to expand... Situmii mtandao huu kwa mawasiliano, nimeuliza kupata jibu kwa watumiaji. Sikutegemea swali, nilitaka Jibu. Kama ni limited bundle, haiwezi kuwa habari njema.
MC44 JF-Expert Member Joined Mar 1, 2019 Posts 2,168 Reaction score 3,304 Apr 23, 2019 #119 vous143 said: Sio halotel mkuu Jamaa wako vzr yan Click to expand... Sio hapa mkuu
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 42,520 Reaction score 94,677 Apr 23, 2019 #120 sony2 said: Uongo Click to expand... Uongo kwa upande wako maana eneo Ulipo haisumbui, wengine inatusumbua
sony2 said: Uongo Click to expand... Uongo kwa upande wako maana eneo Ulipo haisumbui, wengine inatusumbua