Huwa namshangaa mtu anaposema mtandao Fulani haufai kwa sababu network yake ipo chini, hili si kweli mtandao kupanda inategemea na eneo ulilopo ,unaweza kuta mahali ulipo Halotel haina nguvu lakini kuna mwingine alipo unakuta ina kasi tu....Kwahyo mtandao kuwa na kasi ama kutokuwa inategemea na eneo ulilopo na si kujumuisha kwamba mtandao Fulani upo slow kwenye net