Halotel ni kiboko kwa internet speed

Halotel ni kiboko kwa internet speed

Tatizo la halotel ni kuuza special namba bei ghali hata kwa namba ambazo kiasi fulani za kawaida. Wabadilike kwa hilo

wapi huko? Maana me special number niliipata ofisini kwao kwa sh elfu tatu tu.
 
wapi huko? Maana me special number niliipata ofisini kwao kwa sh elfu tatu tu.
Hapa Arusha ndugu,niliwahi kwenda wakaniambia milioni 2, kisa imejirudia mara mbili mwishoni mfano :.....8080,,leo nimeenda wameniambia elf 20,nimelazimika kuchukua namba ambayo sio spesho
 
Hapa Arusha ndugu,niliwahi kwenda wakaniambia milioni 2, kisa imejirudia mara mbili mwishoni mfano :.....8080,,leo nimeenda wameniambia elf 20,nimelazimika kuchukua namba ambayo sio spesho

pole sana
 
Huu mtandao kiboko nimeamua kuachana na mb za bure za mitandao mingine nikahamia huku.
 
Hapa Arusha ndugu,niliwahi kwenda wakaniambia milioni 2, kisa imejirudia mara mbili mwishoni mfano :.....8080,,leo nimeenda wameniambia elf 20,nimelazimika kuchukua namba ambayo sio spesho
Mbona nimi nimepewa kwa elf 2 tu
Hapa Posta Meru Ofisini kwao
 
Niko huku kyerwa karagwe jamaa hata 3g hakuna na 2g yenyewe ukiingia ndani ya nyumbA majanga
 
10, 000 ya nini...ukishakua 4G umemaliza kila kitu....mm line ya 4g nilichange bure na bundle ni za kawaida.
ila.sijui kama now wanacharge ama vp
ila all in all 4G ya tigo iko vizuri
Unaeza ukawa na line ya 4G lkn simu yako icwe inasapoti......so angalia pia na simu yako
 
pamoja sana mkuu. endelea kusambaza Sumu ya halotel hadi tigo, voda na mobitel waombe poo!
....kama vipi mje Kipatimu huku kilwa maana airl ndo inaptkna tu tena chini ya mnara zaid ya hapo hakuna...naomben sana mwaka huu mfike huko.Nb nmeachwa na mchuchu coz cpatkanag
 
Last edited by a moderator:
....kama vipi mje Kipatimu huku kilwa maana airl ndo inaptkna tu tena chini ya mnara zaid ya hapo hakuna...naomben sana mwaka huu mfike huko.Nb nmeachwa na mchuchu coz cpatkanag
pole sana mkuu.
 
mbona hueleweki dak 15 ni chache au nyingi na una dounlod nini
 
Back
Top Bottom