tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,839
- 25,145
Moro-Dar full 3G njia nzima, ya uhakika. Hapa naona tofauti kati ya hawa Halotel na wengine. Miongoni mwa vitu ambavyo vilikuwa vinanishangaza ni kukosekana kwa intaneti ya uhakika katika barabara kuu. Yaani kwa mitandao mingine ukishauacha mji ni shida, hata mjini kwenyewe inachagua maeneo.
Halotel wamenishawishi nitafuta dual sim smartphone na power bank nzuri tu, nikiwa njiani ni raha tu.
Hawa jamaa wako vizuri. Suala la kuchagua maeneo kama lipo basi ni kwa kiasi kidgo sana, binafsi sijawahi kukumbana nalo. Hapa 800MB za kasi kubwa zimeisha ila natazama video YouTube vizuri tu ingawa ubora wa picha umepungua kidogo.
mkuu, umenishawishi. ngoja niachane na hili livoda nichepukie halotel.