4G ya tigo iko vizuri sana na ni affordable..kama unataka kushusha movies subiri saa 5 usiku wakikupa zile GB 15...connect Mobile Hotspot na wireless ya PC...unapata speed ya 4G kwnye computer..utadownload mpaka download yenyewe iseme download download!
Leo niliamua ninunue laini ya hawa jamaa nijaribu ubora wao kwenye internet kusema kweli wamekidhi vigezo sijawahi fikia speed hii kwenye modemu, shida vocha zao tu zinasumbua mpaka urushiwe.
nimeshindwa ku updload picha sababu ya matatizo ya jamii forums ila speed ni above 4.76Mbps ambayo sijawahi ipata kabisa kwa mitandao mingine.
NB: nimedownload movie ya the battle of stanligrad 386MB kwa dakika 7 tu.
Jamaa wanatisha sana Niko Rufiji huku Bungu Vodacom na Airtel Network hamna,Tigo EDGE hata uwe unatumia torch Kwa Voda haupati kitu
Ila hawa jamaa ni 3G na unakamua speed mpaka ya mwisho 19Mbps sema bila Unlimited hauchelewi sikia meseji yao inaingia
![]()
Leo niliamua ninunue laini ya hawa jamaa nijaribu ubora wao kwenye internet kusema kweli wamekidhi vigezo sijawahi fikia speed hii kwenye modemu, shida vocha zao tu zinasumbua mpaka urushiwe.
nimeshindwa ku updload picha sababu ya matatizo ya jamii forums ila speed ni above 4.76Mbps ambayo sijawahi ipata kabisa kwa mitandao mingine.
NB: nimedownload movie ya the battle of stanligrad 386MB kwa dakika 7 tu.
Hata Voda, Airtel na tiGo ukijiunga na vile vifurushi vya 5GB kwa elfu ishirini na tano (25,000) unapewa speed kubwa sana.
Wewe maliza hizo GB/MB za bure ulizopewa halafu uanze kujiunga na kifurushi cha unlimited kwa elfu moja (1,000) kwa siku then ulete feedback.
Yes wana speed ila hawajafika hapa kwa tiGO, kwenye hii picha hapa chini ni speed ninayopata kwenye dashboard na chini yake ni torrent downloder Bitcomet.
![]()
Badae ikapanda mpaka 12.85 Mbps
![]()
Modem ni E398watumia moderm gani
ni noma.tigo kwenye intaneti sizani kama wana mpinzani tena..
ila sio maeneo yote na sharti uwe na line ya 4g yenye uwezo wa 32K na uijaze 10,000 za kuanzia ili ku-activate...ukiwa na laini ya kawaida ya 16K hupati kitu.
Kwa hiyo ni lazima uwe na simu ya 4G ndipo upate spidi nzuri ya tigo au hata kwenye 3G?
Nchi hii ukitaka kupata speed nzuri unatakiwa usiwe na mtandao unaoupenda, kuwa na line zote 6 then kila baada ya kipindi fulani test mtandao upi unakupa speed nzuri.
Eneo ambalo tigo hawana watu wengi unapata speed nzuri tu kwa 3g ambayo inaweza fanana hata na wa 4g
Sasa sababu halotel wana 3g vijijini na eneo langu tigo wana speed kuliko halotel then niache kutumia tigo nitumie halotel?
Acha kupotoshamkuu hakuna SIMU za 4G bali ni LAINI za 4G. zenyewe zinakuwa na uwezo wa 64K wakati laini za kawaida uwezo wake ni 32K.