comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,505
Kila siku halopesa inasumbua yani imeshakua kawaida, halafu nao wamekua na tabia kama ya mbogamboga ya kuwalipa machawa wawasifie kwenye comment!
Naona leo mambo yamekua magumu machawa nao wamezidiwa nguvu wameona wafunge comment kabisa
TCRA wanaruhusuje watu kama hawa kutoa huduma kwa Watanzania.
Ndio mana Kenya wanaruhusu mitandao mikubwa inayojitambua tuu huwezi kukuta mitandao ya janja janja kama hii.
Naona leo mambo yamekua magumu machawa nao wamezidiwa nguvu wameona wafunge comment kabisa
TCRA wanaruhusuje watu kama hawa kutoa huduma kwa Watanzania.
Ndio mana Kenya wanaruhusu mitandao mikubwa inayojitambua tuu huwezi kukuta mitandao ya janja janja kama hii.