Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
pale Victoria ndio ipo hospital ya macho.Kama kuna ukweli hapa. Nimewahi tembelea maduka yao mawili, moja iko Tabata Magengeni na nyingine ipo Morroco jengo lililoko hospitali ya macho ya eye centre. Kote nilikutana na huduma mbovu ya kiwango cha juu.
Niliwekwa masaa 3 pale kusubiri kuhudumiwa
