MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,244
Habari wadau
Naomba nijikite kwenye mada husika
Siku chache zilizo pita nilipatwa na bahati mbaya line yangu ya Halotel ikaharibika hivyo nikachukua hatua za kuli-New
Nilifata utaratibu wote ikiwa ni pamoja na kuripoti police .
Cha ajabu ni kwMba pale ofisi ya Halotel-Mwanza ambayo iko pale karibu na round About ya Samaki nilipo ingia nilikuta wafanyakazi wawili kilicho nishangaza nikuona binti anae hudumia (jina kapuni)anafokea wateja km vile ni watoto wake.
Huyu binti ni mdogo mdogo kiumbo anatumia sim aina ya Samsung J 7 km sikosei.
Tunaomba ajirekebishe,Atumie lugha nzuri kw wateja .
Lakini pia waijulishe jamii kua Halotel hawatoi wala hawana huduma ya kuli New line sio kusumbua wateja.
Naomba nijikite kwenye mada husika
Siku chache zilizo pita nilipatwa na bahati mbaya line yangu ya Halotel ikaharibika hivyo nikachukua hatua za kuli-New
Nilifata utaratibu wote ikiwa ni pamoja na kuripoti police .
Cha ajabu ni kwMba pale ofisi ya Halotel-Mwanza ambayo iko pale karibu na round About ya Samaki nilipo ingia nilikuta wafanyakazi wawili kilicho nishangaza nikuona binti anae hudumia (jina kapuni)anafokea wateja km vile ni watoto wake.
Huyu binti ni mdogo mdogo kiumbo anatumia sim aina ya Samsung J 7 km sikosei.
Tunaomba ajirekebishe,Atumie lugha nzuri kw wateja .
Lakini pia waijulishe jamii kua Halotel hawatoi wala hawana huduma ya kuli New line sio kusumbua wateja.