Halotel configuration

Halotel configuration

Halotel wameanza kukatakata kam tanesco😡😡😡😡
 
Naomba Kuuliza jinsi ya kujiunga na halotel net kwenye simu.
 
mkuu nifahamishe niko na laptop ndio nataka kutumia hii internet halotel nitapata usb na simu card yake ..
 
tatizo siwaelewi kabisaaa unapokuta kifurushi cha internet bila kikomo na wakati huo ukijiunga unapewa mb 800, wanazingua halotel
 
Back
Top Bottom