Nenda kwenye uwanja wa massage andika neno (Configuration) kisha tuma kwenda namba 15503Natumia huawei y 330 napata internet ya halotel ya alama ya g msaada wa settings ili niweze kupata 3g.natanguliza shukran
Hivi unaelewa maana ya APN?Hallo....
Username: halotel
APN: b-internet
Then save na uinjoy mb 5000 bure.. Usipoelewa niulize.
modem ni 35000 ila sahv naskia imeshuka had 30000Wanazo na wana simu! Nimezikuta buguruni branch yao pale,,,sema sikuulizia bei ya modem mkuu
Name: HALOTEL
Apn: b_internet
Then save.
Ila me nimeset hivi;
NAME: Halotel
APN: Internet wap
PORT: 8080
AUTHENTICATION TYPE: Pap
Mi nimenunua moderm na kujiunga kifurushi cha mwezi cha bila kikomo, 1GB na MB 800! Eti kutumia tu internet kawaida ,na Facebook, ndani ya siku 10, naambiwa sina salio. Ni washenzi sana