Halmashauri zinakufa, Wabunge mko wapi

Halmashauri zinakufa, Wabunge mko wapi

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,954
Reaction score
134,032
Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.

Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.

Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara

Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.

Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fedha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?

Nyie wabunge vipi,mlishindwa kuzuia serikali kuu kupokonya vyanzo vya mapato ya ndani na bado mmekaa kimya tu.Hii sio dalili ya nchi kufilisika?
 
Hii ni kweli kabisa na nimeishudia kwa macho yangu katika halmashauri fulani.
Picha linaanza baada tu ya wale wateule wa bwn mkubwa wa level za halmashauri (Dcs, Das) kusaini kiapo cha maadili pale ikulu waziri muhusika na dhamana akawahakikishia kwamba nyie nendeni kwenye vituo vyenu vya kazi mtakuta pesa zote, za nauli, kujikimu etc. Mkawaone makatibu tawala wa mikoa yenu!

Kumbuka walipoteuliwa tu majina kutangazwa itifaki inataka dereva wa mteule amfuate boss wake mpya popote alipo mara moja ili amfikishe kituoni kwa procedure za viapo nk.
Basi, tukatoka haooo vituoni kwa mbwembwe nyingiii ukidhani unapofika unakuta bahasha la kaki... Tamisemi haikupeleka kitu kwa zaidi ya miezi miwili, kama huna akiba binafsi basi utakopa na kugongea mwanzo mwisho..
Wabunge hawawezi ku-intervene wao binafsi (zingatia hilo)

Ukata umetamalaki ndugu zanguni ila kwakua jamaa alisema pia siku ile "vumilieni kwa muda huu kachapeni kazi, mambo yatakua sawa"

Mbaya zaidi madereva wa wateuliwa siunajua hawako kwenye payroll ya mkurugenzi wa halmashauri/ mkoa (usiniulize wako kwenye payroll nani kama hujui) kwahiyo wateule hawalalamiki mbele zao.. Ni mwendo wa kufa na tai shingoni tu!
Patience pays yo!

Niukweli mtupu ulio ongea! Sitofafanua zaidi ya hapa, changanya na za kwako!
 
Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.

Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.

Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara

Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.

Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fesha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?

Wanagawana millioni kumikumi na kukaa kusubiri maelekezo ya serikali nini kinatakiwa wafanye!.
Unahoji kwani huoni?
 
Badala yake halmashauri zinakabana na mamantilie kudai kodi na ada mbalimbali
 
Acha kuropoka usichokijua..

Wewe unachokijua ni kipi? Wabunge wamekaa kama mafurushi ya ..... ngumu, wakisubiri maelekezo ya chama chao namna ya kutetea serikali. Ondoa ujinga wako hapa wa kulazimisha watu wote wawe majuha kama wewe ulivyo jua. Linamacho halioni, na masikio kama majani ya miti yasiyo na uwiano na mwili!.
 
Wabunge wa kile chama wanasuburi walipwe tena mamilioni na kupewa maelekezo nini cha kufanya
 
Ndo kuisoma namba huko.hakuna pesa za burebure tena mjomba ndo maana nikakwambia fanyakazi zako binafsi hachana na halmashauri
Unajua majukumu ya halmashauri?yanaathiri kiasi gani maendeleo yetu,wengine tunafanya biashara nao,tunawadai pesa zetu,wengine ni watumishi tunadai stahiki zetu na mazingira mazuri ya kazi.nikisema fedha hakuna I mean mpaka madawa sasa nikiumwa itakuweje ukitaka nikae kimya
 
Haaaaa haaaa mkuu una hasira Kali

Kiongozi, watu wanaumia, wanapoteza maisha, hatima za binadamu zinasambaratika, ndoto zao zinapotea, matumaini yanapotea, halafu jitu lingine linaleta upumabavu hapa wa kutetea masuala lisiloyajua kwa kuwa tu lilnalipwaga fedha. Fedha zenyewe hata kuliplia matibabu ya familia haziwei.
 
Unajua majukumu ya halmashauri?yanaathiri kiasi gani maendeleo yetu,wengine tunafanya biashara nao,tunawadai pesa zetu,wengine ni watumishi tunadai stahiki zetu na mazingira mazuri ya kazi.nikisema fedha hakuna I mean mpaka madawa sasa nikiumwa itakuweje ukitaka nikae kimya


Unahangaika na mijitu iliyopelekwa shule ikashindwa kusoma si kwamba ina alternative maishani bali vichwani hakuna kitu. Inajua hata Halmashauri zinafanya nini au ni za nini? Mijitu hii inayolipwa dili elfu saba saba hata kodi hailipi kwa hiyo hata hakuna kitu inachangia zaidi ya upumavu.

Hii mivjitu isikupotezee muda!
 
Ndo kuisoma namba huko.hakuna pesa za burebure tena mjomba ndo maana nikakwambia fanyakazi zako binafsi hachana na halmashauri
Kwani usipochangia utapata hasara gani? Inaonekana unachangia kitu ambacho amaba huelewi au umeamua kujitoa akili bure bure!
 
Kocha Sizonje kakwapua mapato ya halmashauri zote nchini sasa zinakufa kimya kimya. Kwa jinsi wanavyomuogopa kocha Sizonje hakuna wa kukemea ukwapuzi huu.

CC: lusungo


Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.

Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.

Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara

Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.

Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fesha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?

Nyie wabunge vipi,mlishindwa kuzuia serikali kuu kupokonya vyanzo vya mapato ya ndani na bado mmekaa kimya tu.Hii sio dalili ya nchi kufilisika?
 
Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.

Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.

Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara

Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.

Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fesha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?

Nyie wabunge vipi,mlishindwa kuzuia serikali kuu kupokonya vyanzo vya mapato ya ndani na bado mmekaa kimya tu.Hii sio dalili ya nchi kufilisika?
mliitaka wenyewe na mvimbe mpasuke,wacha muisome namba eee naniii mbelekwa mbele.
 
Halmashauri zisizoweza kujiendesha zifutwe. Just thinking loudly
 
Back
Top Bottom