Hewa mkaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 748
- 386
Hii hairuhusiwiBadala yake halmashauri zinakabana na mamantilie kudai kodi na ada mbalimbali
Hii hairuhusiwiBadala yake halmashauri zinakabana na mamantilie kudai kodi na ada mbalimbali
Ndo kuisoma namba huko.hakuna pesa za burebure tena mjomba ndo maana nikakwambia fanyakazi zako binafsi hachana na halmashauri
Kuna post inaendana na hii niliweka humu ikisema"wabunge walio wengi hawasikiki kuhamasisha maendeleo,nini kimewasibu". Kama alivyosema spika majuzi" bunge letu lina takriban 75% wabunge vijana,na wengi ndo mara ya kwanza kuwa wawakilishi. Hali kadhalika kada nyingi za watawala ni watu wapya kwenye utumishi! Nafikiri kuna umuhimu wa kurudisha semina elekezi kuwapa hali halisi ya kazi na nini wanapaswa kufanya jamii isonge mbele.Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.
Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.
Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara
Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.
Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fesha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?
Nyie wabunge vipi,mlishindwa kuzuia serikali kuu kupokonya vyanzo vya mapato ya ndani na bado mmekaa kimya tu.Hii sio dalili ya nchi kufilisika?
Kwa hiyo wewe msemaji wa halmashauri ama unadili halmashauri fulani hujalipwaUmenielewa au unadhani Mimi ndiye halmashauri?kwamba nalalamika sijaletewa ruzuku
acha ujinga tufanye kazi gani saaa kama mimi ni mhandisi nasimamia miradi na pesa za miradi hakuna?Acha kulalamika fanya kazi.
Achana na huyo falakazi ziko wapi?
swissme
Ulisoma kabla hujapost ulichoandika? Umri wa mBUNGE unahusiana nini na Serikali Kuu kupeleka Pesa za Maendeleo kwenye HarmashauriKuna post inaendana na hii niliweka humu ikisema"wabunge walio wengi hawasikiki kuhamasisha maendeleo,nini kimewasibu". Kama alivyosema spika majuzi" bunge letu lina takriban 75% wabunge vijana,na wengi ndo mara ya kwanza kuwa wawakilishi. Hali kadhalika kada nyingi za watawala ni watu wapya kwenye utumishi! Nafikiri kuna umuhimu wa kurudisha semina elekezi kuwapa hali halisi ya kazi na nini wanapaswa kufanya jamii isonge mbele.
1. Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni, wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.
2. Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara
3. Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,
4. (Watumishi) stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki.
5. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.
Hii ndio aina ya Watanzania wanaoitia utani kwa kila jamboAcha kulalamika fanya kazi.