Halmashauri zinakufa, Wabunge mko wapi

Halmashauri zinakufa, Wabunge mko wapi

Halmashauri hizi zilikuwa na mchwa kweli kweli. Sasa baada ya dawa ya kuua hawa mchwa kupuliziwa kila mchwa anatafuta pa kutokea. Wengine wanakufa, wengine njaa kali maana chakula kina sumu. Mbaya zaidi, mpulizia dawa ndio kwanza anaanza!
 
Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.

Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.

Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara

Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.

Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fedha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?

Nyie wabunge vipi,mlishindwa kuzuia serikali kuu kupokonya vyanzo vya mapato ya ndani na bado mmekaa kimya tu.Hii sio dalili ya nchi kufilisika?
Naona zile cheki zenu za lipa/pay Ded aka mkurugenzi mtendaji halafu mnaenda kugawana weekend zimeisha,Safi sana mlitumia vibaya kodi zetu,Si mishahara mnapata ,Hayo ndio mabadiliko ya kweli
 
Acha kulalamika fanya kazi.
Akili za ccm hizi. Utafanyaje kazi bila pesa?

Pesa hakuna, huko halmashauri wanalamika hakuna hata vifaa bado mnawaambia wafanye kazi.
KWANN NYINYI HAMKUSAINI MUSWAADA WA HABARI BILA MILION 10 KWA KILA MBUNGE?
KWANN PESA ZA WAHANGA WA TETEMEKO LA ARDHI MEZICHUKUA?
 
Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.

Wadau kwa wale wasio na taarifa ni kwamba halmashauri zipo kwenye hali ngumu sana ya kukosa ruzuku ya kujiendesha na ruzuku za miradi ya maendeleo.Ukata huu umefanya baadhi ya halmashauri zisizo na mapato ya ndani ya kutosha kushindwa kutoa huduma kwa wananchi.Imefikia wakati idara inakosa hata rim papers za kuandika taarifa.

Halmashauri hazikopesheki tena kwa wazabuni,wazabuni wanashinda halmashauri kudai pesa zao.Halmashauri zinaua mitaji ya wafanyabiashara

Watumishi wamekataa tamaa wamepauka hawajui kesho yao,stahiki zao hawajui hatma kutwa kuhakikiwa mara vyeti vya vyuo,mara umri mara ndoa na kadi za benki. Gharama za maisha zimepanda mishahara haijapanda. Wanaishi kwa hofu ya kutumbuliwa.

Madiwani wanakaa vikao hawana mradi wa kujadili fedha hazijaletwa,fedha zinaletwa kwa matukio tu,na sio kwa mujibu wa bajeti. Wakurugenzi wanaogopa wamejaa uwoga wa kutumbuliwa,hawana ujasiri wa kukumbushia ruzuku.
Wabunge wetu mnafanya kazi gani?nyinyi ndio mawakala wetu kwa mawaziri na rais, mbona mko kimya?

Nyie wabunge vipi,mlishindwa kuzuia serikali kuu kupokonya vyanzo vya mapato ya ndani na bado mmekaa kimya tu.Hii sio dalili ya nchi kufilisika?
Wewe utakuwa miongoni mwa wezi waliokuwa wanaibia halmashauri. Mlizoea kuiba, kujiandikia madokezo hewa hata kazi hakuna, mlizoea kuandika madokezo yanayohusisha hata watu wa chini kama wahudumu na mwisho wa siku hamuwapi hela mnaliza wenyewe, mlizoea kuwaandika baadhi ya wafanyakazi kuwa mmefanya nao kazi na mwisho wa siku mnawanyima hela, mlizoea kuandika eti kazi fulani imefanyika kwa milioni kadhaa kumbe hata kazi hakuna, mlizoea eti kupeleka ripoti mkoani (unaweza kukuta ni umbali wa kutoka kariakoo kwenda mnazi mmoja) mtu anadai alipwe milioni moja na zaidi. Mimi kuna watu wanafanya kazi halmashauri wala hakuna kitu kama ukata kwao ila wanawashangaa tu wanaolalamika hasa wale wezi kama mleta maada. Mkome kabisa Dkt Magufuli usilegeze kabisa baaanaaaaaa hao wezi wa halmashauri. Na ningefurahi kama wangewapunguza kabisa nyie wezi wezi
 
Back
Top Bottom