Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #61
Umeshaambiwa chadema hawakurupukiBarabara ndogo hii ikamilike ndani baada ya mizezi 7? Hii si sawa.
Umeshaambiwa chadema hawakurupukiBarabara ndogo hii ikamilike ndani baada ya mizezi 7? Hii si sawa.
Kumbe huenda umelipwa poa upo kazini kwa mlengo fulan.Naendelea kukupa pole Mwanahabari Nguli kama mimi siyo rahisi uningize chaka
Kazi yangu inaniruhusu kuripoti.. nyie mliyozoea vibahasha ndio nawapa poleKumbe huenda umelipwa poa upo kazini kwa mlengo fulan.
Komaa kutulisha vibichi
Ccm Arusha Wameshikwa pabaya sanaUsiwe mjinga wewe kwa kutaka kuleta hadithi ya kilo 1 ya mawe ni nzito kuliko kilo 1 ya pamba,hata iwe barabara gani urefu wa mita ni ule ule;mnajisifia ujinga hapa
Hakuna jipya hapo,mnajifariji tu,kuna mipango iliyoachwa ambayo inatekelezwa sasa na pia source ya pesa ni road fund[emoji15] [emoji15] [emoji15]Nilikua huko Arusha Juzi Mkuu kweli kunamabadiliko sana ccm walikua wanafisadi sana hilo jiji
Nawashangaa chadema.Hili mbona jambo dogo sana ?
Hapo Chemba mmejenga km ngapi? Au bado msimu wa kwelea kweleaNawashangaa chadema.Hili mbona jambo dogo sana ?
Shirikisha ubongo vizuri, walikuwepo ccm hawakufanya kazi zaidi ya ufisadi, sasa chadema wamefanya makubwa ktk kipindi kifupi hili ndilo tunalolijadili hapa, ukileta mfano wa Magufli kujenga lami nchi nzima wakati pesa ALIKUWA ANAPEWA/ANATENGEWA NA SERIKALI unakosea chadema Arusha wanajenga lami kwa KUKUSANYA PESA KWA NGUVU ZAO/KUSIMAMIA MAPATO YA JIJI VYEMA NA KUZITUMIA KWA MANUFAA YA WOTE.Hongereni! Ila mko na tatizo kidogo Kajiji kamoja tu tena Km 1.5 mnaanza kujisifia kwa mbwembwe.
Na hapo huwezi kumpongeza JPM aliyetandaza lami kuunganisha nchi. Si bure kuwa mwanasiasa lazima uishi kama chizi fulani
mtoa post ajibu, maana imeleta shida kidogo. 120000?Vipi kuhusu kujiongezea posho, Napo wamefanya kweli?
Umeshaambiwa chadema hawakurupuki