Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Mimi siwezi kumwelimisha punguani kama wewe madiwani wa CCM wameongoza halmashauri miaka zaidi ya 15 mbona walishindwa kutengeneza hiyo barabara?Usiwe mjinga wewe kwa kutaka kuleta hadithi ya kilo 1 ya mawe ni nzito kuliko kilo 1 ya pamba,hata iwe barabara gani urefu wa mita ni ule ule;mnajisifia ujinga hapa