Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Leo May 28 .2018 ni jumatatu ya mnyukano CCM kwenye kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) baada ya report ya wabadhirifu kutua kwa Mh. Rais JPM.
Vigogo wa CCM wote wametua Jijini Dsm kuhudhuria kikao hicho kitakachojadiri hatma ya wabadhirifu wa mali za chama. Kitaongozwa na Mwenyekiti CCM Taifa Mh. Dk. John Pombe Magufuli.
Mubashara tujuzane!
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM(NEC) imeridhia ombi la Ndg. Abdulrahman Kinana kustaafu wadhifa wa Katibu Mkuu wa chama
Rais Magufuli - ''Napenda kumshukuru ndugu Kinana kwa utumishi wake katika Chama cha Mapinduzi (CCM), na CCM itaendelea kutumia uzoefu wake katika majukumu mbalimbali ya chama kwa kadiri itakavyohitajika''
Vigogo wa CCM wote wametua Jijini Dsm kuhudhuria kikao hicho kitakachojadiri hatma ya wabadhirifu wa mali za chama. Kitaongozwa na Mwenyekiti CCM Taifa Mh. Dk. John Pombe Magufuli.
Mubashara tujuzane!
Updates
Wajumbe Wapya wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa CCM, Mizengo Pinda na Makongoro Nyerere wakiingia katika ukumbi wa Kikwete jijini Dar es salaam leo baada ya kukubaliwa kuwa wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) muda huuHalmashauri Kuu ya Taifa ya CCM(NEC) imeridhia ombi la Ndg. Abdulrahman Kinana kustaafu wadhifa wa Katibu Mkuu wa chama
Rais Magufuli - ''Napenda kumshukuru ndugu Kinana kwa utumishi wake katika Chama cha Mapinduzi (CCM), na CCM itaendelea kutumia uzoefu wake katika majukumu mbalimbali ya chama kwa kadiri itakavyohitajika''