Halmashauri kuongozwa na wanawake tu

Niwaheri

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,616
Reaction score
5,767
Katika pita pita zangu kuna jambo nimeliona japo kwangu nimelichukulia kwa sura tofauti kidogo hasa kiutendaji
Juzi nilibatika kufika halmashauri moja inaitwa mji wa mbulu huko manyara.

katika kufatilia baadhi ya mambo niliambiwa kuanzia RC,DC,DED,SLO,AFISA ELIMU wote ni wanawake.
naombeni wazoefu wa masuala ya uongozi na hii halmashauri je mambo yanaenda vizuri au kuwepo kwa huo mlolongo kuna impact yoyote kiutendaji?

Nipo hapa kujifunza
 
RC ndiyo nani katika ngazi ya Halmashauri?
 
Hapo lazima shida iwepo.

Women are irrational.

Ni kama nyumbani baba hawezi kaa na watoto bila mama. Nyumba itageuka gaza
Japo sijapata mda mzuri wa kukaa na wenyeji ila bila shaka kuna shida,wanawake tuna mambo mengi mara uwaze salon,mara mtoko wa kesho mara hili mara lile kwa kweli mambo ni mengi
 
Ili iweje,ni wapi walipo pawezea zaidi?
 
Hahaha kumbe unaelewa

Lakini pia nyie ni watu wa hisia sanaa

Wataanza kufanya maamuzi hapo bila yak kuwa logical zaiid li sababu ya hasira, huruma au furaha

Simaanishi kuwa hamko wachapakazi hapana ila mnahitaji usimamizi wa wanaume

Ni kama vile nyumbani bila nyie mambo hayaendi
Japo sijapata mda mzuri wa kukaa na wenyeji ila bila shaka kuna shida,wanawake tuna mambo mengi mara uwaze salon,mara mtoko wa kesho mara hili mara lile kwa kweli mambo ni mengi
a
 
Nafasi nyingi za halmashauri za huku bara ziko chini ya wanawake, hasa DED.
Na wengi toka visiwani na pwani
Na sio bahati mbaya, au kuwawezesha wanawake.
Kazi yao mtaiona kwenye uchaguzi unaokuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…