Hawamu ndio nn?!, ni neno la kiswahili au???Mambo ya Maendeleo Hawamu ya Tano.
. ,,,,, Awamu,,,,Hawamu ndio nn?!, ni neno la kiswahili au???
Majaliwa umemfikishia mbunge wao?Mkuu Hizo Picha ni za Saa 8 jioni ya Leo
Sh. 25000 Elfu.
Mkuu Fanya Uchunguzi Kama Kuna Mtu Unaemfahamu Muulize Kupata Uhakika Kama ni Uongo au la.
Ok Poa Lakini Mkuu Hapo Mwisho si Niliandika Elfu..
We bado hujaanza soba house, nani kapora?Si alijidai kuwa nchi hii tajiri ina pesa sana ila ana shangaa kutuona watu wake sisi ni maskini mmmhhsasa anapola watanzania wazi wazi....