Halmashari ya Wilaya ya Ruangwa Yafunga Maduka

Phd Hewa

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
572
466
Halmashari ya Wilaya ya Ruangwa Yafunga Baadhi ya Mabanda ya Wafanya Biashara wa Sokoni na Maduka yanayolizunguka Soko Yakiwemo na Mabanda Ya Stend Kuu ya Ruangwa

Kwa Kile Kinachodaiwa Kupinga Kwa Wafanya Biashara Hao Kulipa Kodi Iiyozidi Mara Nne ya Bei ya Zamani Ambayo Ilikua Sh. Elfu 5000.

Na Sasa Kupandishwa Kodi Hiyo Mpaka Kufikia Kiasi Cha Sh Elfu.25,000,

Chanzo Jamaa wa Karibu Yangu.
97b5daebe04169736a69f91fe928e83c.jpg
fa407703fa6f41855a016ed75a0762d4.jpg
a1650cd121c5cdefcca01d39fc6c8da1.jpg
8873feb0b4aa659881a1b9392cfeea68.jpg

10f5824d8398c43f25e4add3f0d78632.jpg
 
Si alijidai kuwa nchi hii tajiri ina pesa sana ila ana shangaa kutuona watu wake sisi ni maskini mmmhh sasa anapola watanzania wazi wazi....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom