babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,176
Kuna middle class wengi wanaoekana hivyo ambao kipato chao ni cha kawaida.Ni lishe bora na mazoezi sio chini ya mara tatu kwa wiki.Tatizo afrika kula vyakula vyenye high Carbs ndio lishe bora.It takes alot of make ups, surgeries, and work outs to look that way above 40's...! Hapo inataka madola kibao...