Halle Berry at 45...kitu mwake!!!

Ni mazoezi na kula vizuri. Pia kwa msaada wa cream na mafuta ghali sana. Bila kusahau surgery za madola mengi ambazo mwanamke wa kawaida hawezi kuzipata na huishia kutumia mafuta ya nazi au yaliyopigwa marufuku ya kichinachina. Hakuna mwanamke wa umri huo ataonekana na ngozi ya aina hiyo bila msaada wa hayo yaliyotajwa hapo juu.
 
.........ana muonekano mzuri, kasoro ni tumbo tu hapo kwa juu mbavu zimejichora mno.
 
mzee mbona wako wengi hawa huku kwetu tena wanatumia mafuta ya nazi!
 
wanajamii bwana! hamkosi la kusifia, sasa hapo cha kuvutia kipi? ni kama wanawake wa kizaramo mitaa ya buguruni huko hamna lolote!
 
It takes alot of make ups, surgeries, and work outs to look that way above 40's...! Hapo inataka madola kibao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…