Halima Mdee Unachemka

Kwa kifupi ni hatumpi mtu yeyote wa CHADEMA kwasababu ni walaghai.

Tutampa Mh. Zitto kama itatokea akagombea vinginevyo ni CCM. Haturudii makosa kuwachagua hawa wachumia tumbo wa chama cha ukoo wa Mtei.

Mtafanya vema mkiichagua CCM, kwani serikali ya CCM ilishasema mkichagua wapinzani hawaleti maendeleo.Shauri yenu.
 
duuuh itatuchukua miaka mingi kuelewa wajibu wa serkl inayokusanya mapato/kodi na kaz ya uwakilish wa mbunge......!!!

hovyo,mkiomba kura mnasema mtafanya hv au vile, mkipewa madaraka oh sie hatukusanyi kodi. Ujinga mtupu.Nyie juzi tu mkiwa kalenga mlisema mtashughulikia masuala ya maji,barabara na kuboresha huduma za hospitali.Swali, kwani chadema lringa inakusanya kodi?
 
Baada ya ule mwezi kupita amekumbushwa mnoo na viongozi watendaji wake na majibu tunayopata nikuwa yupo bize,nikipata muda ntaenda omba nakala za barua alizoandikiwa na hajajibu hata mmoja zaidi ya kupiga simu tu kwa viongozi wetu. mimi ningekuwa na simu yake, email yake etc ningekuwa nimefanya effort zangu na kampeni zangu kama hizi kuleta attention na kumbusha majukumu yake. Kwa ufupi ametutupa na hasemi lolote sasa sijui sisi huku ndio sio sehemu ya jukumu lake au lah? kama una email yake au simu yake nipatie I will do the rest.

kiukwel sina mawasiliano yoyote ya huyo mheshimiwa,ila nadhan ukiingia kwenye website ya bunge utapata yote hayo.
 
Yeye anatakiwa apige kelele huko serikalini ili wananchi wake wapatiwe huduma. Ukipiga kelele angalau utapata pesa ya miradi miwili mitatu. Ukikaa kimya ndio kwanza hela zitaenda majimbo ya ccm. Ila mashuleni naona kajitahidi madawati na komputa keshatoa.

Ndicho anacho kifanya serikali sikivu inamkwamisha
 
Ndugu wajumbe,hii hoja ni ndogo na ni nyepesi sana na msianze kusema sijui huo sio wajibu wake wala nin,Mdee ndo mwakilishi wa matatizo ya wananchi na mkianza kusema huo sio wajibu wake naanza kuhisi sasa uelewa umepungua kuhusu mambo ya Wabunge,nlimpigia kura mdee na wakat wa kampen alikua anatembea mara nyingi mpaka wananchi tukaona huyu kweli anafaa na tukamdharau Mbatia.Wakazi wa Mbezi Beach Makonde maeneo ya sokono tulikua na tatizo la pale soko kutaka kuvunjwa ila wala hatujamuona although anakaa eneo la karibu na pale na mwisho wa siku ndo mwenye akili anaanza kujiuliza,tumemchagua huyu ili awe mwakilishi wetu ila sasa hatuoni tofauti yake na mbunge aliepita Mlaki,yan hatuoni tofaut hata chembe,najua mtantukana na kusema mim ccm ila kumbuka kua nlimpigia kura huyo mama na nlisaidia kuweka mabango yake wakat wa kampen ila sidhan kama anastahili kua na jimbo hata akija huyo mke wa slaa sidhan nae kama atapewa kama ndg Mbatia akigombea ubunge.expectation za watu wa jimbo la kawe juu ya mdee ilikua ni kubwa sana.
Usiseme kujenga barabara sio kazi yake ila yeye ana nguvu ya kuwapush wale watu na kujua wana malengo gani na hyo barabara na baadae kuja kutoa feedbak kwa wananchi so tuache uchama na twende kwa hoja na kama huna hoja si lazima uchangie.Ntaomba anaesema mdee kafanya hichi na hichi katika awamu yake naomba atutajie kama Mbeya,katika kipind cha Sugu barabara zmejengwa
 
Matatizo ya wananchi ni mtaji kwa Chadema.... Hivyo usitegemee chadema kuwaondolea matatizo.
 
Mdee asione aibu kwenda Temeke kujifunza namna Mtemvu alivyp karibu na wananchi. Mbunge wa Kawe unaishi Kawe kwanini unashindwa kutembelea wapiga kurawako mara kwa mara
 
Yani mwakani Mbatia akigombea tena mkamtosa na kumpa huyo jike dume yani wana Kawe nitawaona Mamburula aisee.
 
Naona mmeshatumwa na mke wa slaa ili kumnyang'anya mdee jimbo ili apate yeye.Kweli cdm ni SACCOS, mbona mnasema wabunge wa cdm wanafaa sana?inakuwaje sasa?Huu mpango mdee ameshaushitukia ndio maana ameamua sasa kuungana na ZITTO ili awaumbue zaidi.Jamani SACCOS hii(cdm) ndo inakufa hivyo wenye hisa wakachukue chao.
Your Wrong...CDM ukichemka tunakutosa, Hata Mbowe siku akizingua tunamtosa tu. hapa ni kazi tu.
 
Your Wrong...CDM ukichemka tunakutosa, Hata Mbowe siku akizingua tunamtosa tu. hapa ni kazi tu.

Unamtosa mbowe chadema?...unaijua cdm kweli we mtoto?..nakuuliza tena unaijua cdm? Unamjua mtei? Unamjua mbowe?
 
Ndugu wajumbe,hii hoja ni ndogo na ni nyepesi sana na msianze kusema sijui huo sio wajibu wake wala nin,Mdee ndo mwakilishi wa matatizo ya wananchi na mkianza kusema huo sio wajibu wake naanza kuhisi sasa uelewa umepungua kuhusu mambo ya Wabunge,nlimpigia kura mdee na wakat wa kampen alikua anatembea mara nyingi mpaka wananchi tukaona huyu kweli anafaa na tukamdharau Mbatia.Wakazi wa Mbezi Beach Makonde maeneo ya sokono tulikua na tatizo la pale soko kutaka kuvunjwa ila wala hatujamuona although anakaa eneo la karibu na pale na mwisho wa siku ndo mwenye akili anaanza kujiuliza,tumemchagua huyu ili awe mwakilishi wetu ila sasa hatuoni tofauti yake na mbunge aliepita Mlaki,yan hatuoni tofaut hata chembe,najua mtantukana na kusema mim ccm ila kumbuka kua nlimpigia kura huyo mama na nlisaidia kuweka mabango yake wakat wa kampen ila sidhan kama anastahili kua na jimbo hata akija huyo mke wa slaa sidhan nae kama atapewa kama ndg Mbatia akigombea ubunge.expectation za watu wa jimbo la kawe juu ya mdee ilikua ni kubwa sana.
Usiseme kujenga barabara sio kazi yake ila yeye ana nguvu ya kuwapush wale watu na kujua wana malengo gani na hyo barabara na baadae kuja kutoa feedbak kwa wananchi so tuache uchama na twende kwa hoja na kama huna hoja si lazima uchangie.Ntaomba anaesema mdee kafanya hichi na hichi katika awamu yake naomba atutajie kama Mbeya,katika kipind cha Sugu barabara zmejengwa
BLACK AND WHITE..Good. Yani wewe kama mimi. Hapa ni kazi tu, yani mbunge anawajibika kwa wanachi moja kwa moja. Ndio maana nikasema Mdee Unachemka. Mmeona sasa watu walivyo na mamalamiko na huyu sister do? Asante sana Mdau.
 
Unamtosa mbowe chadema?...unaijua cdm kweli we mtoto?..nakuuliza tena unaijua cdm? Unamjua mtei? Unamjua mbowe?
Hata mbuyu ulianza kama Mchicha, if you think inside the box utabakia hivyo hivyo unamjua nani sijui nani? but id your thinking outside the box unakuwa mwelewa na you can make things happen. Amka kijana.
 
hovyo,mkiomba kura mnasema mtafanya hv au vile, mkipewa madaraka oh sie hatukusanyi kodi. Ujinga mtupu.Nyie juzi tu mkiwa kalenga mlisema mtashughulikia masuala ya maji,barabara na kuboresha huduma za hospitali.Swali, kwani chadema lringa inakusanya kodi?
Aminaaa..Hebu atuambie kama wameanza kusanya Iringa kodi ndio wakatoa hizo ahadi lukuki.
 
Mdee hawezi kuondolewa na watu wanne mlio mponda humu kwenye mjadala, mlio jaa chuki na roho mbaya, mwanzo mwisho bizbap , ifweero tu! TUTAMCHAGUA TENA KWA JASHO NA DAMU.
 
Back
Top Bottom