Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Una funza kwenye ubongo, mdee anakusanya kodi yako?
Anakula kodi zetu kwenye mshahara, posho na marupurupu ndio maana tunataka awe responsible.
To whom much is given much should be expected
Una funza kwenye ubongo, mdee anakusanya kodi yako?
Offcoz sisi hatutaki msaada wake yeye anatakiwa atu mobilize tu tufanye wenyewe.
nyie ndo walewale kama mabinti wa bar, ukitekenywa mara moja unacheka mara kumi. mwenzako hallima mdee yuko hanimuni na ester bulayanaona miccm mmekutana, mnajitekenya na kucheka wenyewe!
Hi Mh. Halima Mdee, ujue 2015 ndio hiyoo inakuja na sisi wananchi wa jimboni kwako tunakuangalia tu na promise zako ambazo unashindwa tekeleza. vitu vidogo vidogo tu vinakushinda sasa ukikosa hili jimbo lako utatulaumu?
Mwaka Jana mwezi kama wa Nne hivi kama si kosei tulikuita sisi wananchi wa Boko eneo la Magereza tena umekuja baada ya kukuita bila mafanikio kwa mara mingi, siku hiyo nakumbuka ukaja tukakutana na wewe pale Pommy Hill Club tukaongelea swala la Barabara yetu huku boko magereza. kwa Nyodo nyingi sana ukijifanya utashughulikia swala hilo na katika kile kikao ukawa mkali mkali tu,kikao kimeisha ukasema baada ya mwezi utarudi ilikutane na wamiliki wa magari yanayo beba mawe maana wao ndio wanao haribu barabara. na siku ile kuna mtu alisema wewe utuachie azimio kama baada ya huo mwezi hakuna lililofanyika tufunge barabara kwa magari makubwa ukakataa na ukasema utarudi yule mtu akarudia kusema " Nawajua wana siasa maneno mengi sana, naambia huyu harudi tena huku" na kweli alio yasema ndio yalio tokea.
Sasa angalia picha za barabara uliosema utarudi baada ya mwezi na sasa ni mwaka hatujakuona.
View attachment 147831 View attachment 147832
Mimi napenda Mageuzi sana lakini jinsi hii itabidi CDM watupe mgombea mwingine jimbo hili wewe unachemka sana. una issue kama kumi hivi ushachemka sana kama CDM hawaoni basi hili Jimbo tutalikosa wakikusimamisha wewe tena.
Asante sana.
Hi Mh. Halima Mdee, ujue 2015 ndio hiyoo inakuja na sisi wananchi wa jimboni kwako tunakuangalia tu na promise zako ambazo unashindwa tekeleza. vitu vidogo vidogo tu vinakushinda sasa ukikosa hili jimbo lako utatulaumu?
Mwaka Jana mwezi kama wa Nne hivi kama si kosei tulikuita sisi wananchi wa Boko eneo la Magereza tena umekuja baada ya kukuita bila mafanikio kwa mara mingi, siku hiyo nakumbuka ukaja tukakutana na wewe pale Pommy Hill Club tukaongelea swala la Barabara yetu huku boko magereza. kwa Nyodo nyingi sana ukijifanya utashughulikia swala hilo na katika kile kikao ukawa mkali mkali tu,kikao kimeisha ukasema baada ya mwezi utarudi ilikutane na wamiliki wa magari yanayo beba mawe maana wao ndio wanao haribu barabara. na siku ile kuna mtu alisema wewe utuachie azimio kama baada ya huo mwezi hakuna lililofanyika tufunge barabara kwa magari makubwa ukakataa na ukasema utarudi yule mtu akarudia kusema " Nawajua wana siasa maneno mengi sana, naambia huyu harudi tena huku" na kweli alio yasema ndio yalio tokea.
Sasa angalia picha za barabara uliosema utarudi baada ya mwezi na sasa ni mwaka hatujakuona.
View attachment 147831 View attachment 147832
Mimi napenda Mageuzi sana lakini jinsi hii itabidi CDM watupe mgombea mwingine jimbo hili wewe unachemka sana. una issue kama kumi hivi ushachemka sana kama CDM hawaoni basi hili Jimbo tutalikosa wakikusimamisha wewe tena.
Asante sana.