chogomzingwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 240
- 21
Yeye anajua ipo kwa mamlaka ipi ndio maana alikuja mwaka Jana na akahaidi kurudi kwetu ndani ya mwezi na solution ya tatizo letu, but ndio ikawa kimojaa, tunamuona kwa Luninga tu mjengoni.
hebu niambie serikali hii ya cc hemu imeanza lini kusikiliza sauti ya wananchi?.