Halima Mdee na wenzake 18 hawana nguvu yoyote ya kimaamuzi Bungeni, wanaburuzika tu

Mema yote aliyofanya magufuri yanafutwa na hiyo issue ya kina Halima pamoja na mambo ya utekaji na mauaji.
 
Unaweza ukajiuliza uwepo wa wapinzani kiduchu bungeni una faida gani iwapo maamuzi yote muhimu yanafanywa na kamati kuu ya CCM?

Kiukweli Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi tuna kiini macho tu.

Na katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno.

Maendeleo hayana vyama!
Hakumung'unya maneno... Kwamba ifikapo mwaka 2020 atakua ameuua upinzan!!
 
Hawana hasara ya aina yoyote ile ni faida ya hela wanayopokea, au hawalipwi kitu ?
nahisi kwa urefu wa kamba yao hawakosi kitu mkiwatambue msiwatambue.
 
Unaweza ukajiuliza uwepo wa wapinzani kiduchu bungeni una faida gani iwapo maamuzi yote muhimu yanafanywa na kamati kuu ya CCM?

Kiukweli Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi tuna kiini macho tu.

Na katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno.

Maendeleo hayana vyama!
Nenda wewe Bungeni ukatoe maamuzi
 
Back
Top Bottom