Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,469
Mema yote aliyofanya magufuri yanafutwa na hiyo issue ya kina Halima pamoja na mambo ya utekaji na mauaji.
Au unawaongelea wajane wa Ndugai?wapinzani kiduchu
Hakumung'unya maneno... Kwamba ifikapo mwaka 2020 atakua ameuua upinzan!!Unaweza ukajiuliza uwepo wa wapinzani kiduchu bungeni una faida gani iwapo maamuzi yote muhimu yanafanywa na kamati kuu ya CCM?
Kiukweli Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi tuna kiini macho tu.
Na katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu laana Magufuli ndiye aliyefanya uharamia...Aendelea kuungua huko alikoNa katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno
Nenda wewe Bungeni ukatoe maamuziUnaweza ukajiuliza uwepo wa wapinzani kiduchu bungeni una faida gani iwapo maamuzi yote muhimu yanafanywa na kamati kuu ya CCM?
Kiukweli Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi tuna kiini macho tu.
Na katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... Covid!Nenda wewe Bungeni ukatoe maamuzi