johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Unaweza ukajiuliza uwepo wa wapinzani kiduchu bungeni una faida gani iwapo maamuzi yote muhimu yanafanywa na kamati kuu ya CCM?
Kiukweli Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi tuna kiini macho tu.
Na katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi tuna kiini macho tu.
Na katika hili hayati Magufuli hakumung'unya maneno.
Maendeleo hayana vyama!