Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Ni wakati sahihi sasa kwa viongozi wa CHADEMA kukaa pamoja na kina halima mdee na wenzake 18 kumaliza tofauti zenu na kuwarudisha kundini ili mjenge mshikamano tayari kwa mapambano ya kukiimarisha chama.
Kama CCM iliweza kuwasamehe kina Lowassa, Sumaye, Makamba, Kinana, Membe, Sofia Simba - kwanini nanyi msiwasamehe kina Halima na wenzake?
Kilichowapata kina Halima Mdee na wenzake mnakijua ni maamuzi binafsi ya Magufuli kwa kutumia madaraka yake akiamini ataiua CHADEMA lakini alishindwa hivyo malizeni tofauti zenu.
Nje ya mahakama muongeze nguvu katika mapambano ya kudai Katiba Mpya. Mkifanikiwa kuwarudisha kundini maadui zenu wataaibika sana.
"PEOPLE POWER DAIMA"
Kama CCM iliweza kuwasamehe kina Lowassa, Sumaye, Makamba, Kinana, Membe, Sofia Simba - kwanini nanyi msiwasamehe kina Halima na wenzake?
Kilichowapata kina Halima Mdee na wenzake mnakijua ni maamuzi binafsi ya Magufuli kwa kutumia madaraka yake akiamini ataiua CHADEMA lakini alishindwa hivyo malizeni tofauti zenu.
Nje ya mahakama muongeze nguvu katika mapambano ya kudai Katiba Mpya. Mkifanikiwa kuwarudisha kundini maadui zenu wataaibika sana.
"PEOPLE POWER DAIMA"