Munabusule
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 976
- 492
Ki ukweli ukimtoa Marehemu Bib Titi Mohamed hapajawai kutokea mwanamke yoyote aliyewai kufanya siasa za kisayansi na shupavu zenye akili na weledi katika aridhi ya Tanzania kama kamanda Mdee afanyavyo.
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.
Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.
UPDATES
Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli
UPDATES 2
Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...
Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi
Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
CHADEMA kila mtu kamanda hakuna mgambo?
Bavicha wako wapi au kibao kimegeuka huyu petrobasi ameshindwa kazi mapema Bavicha imefifia haraka sana
Ubarikiwe sana Kamanda tunapenda watu kama nyie! Hapo Masanza kona iwe ngome ya Chadema!
CHADEMA kila mtu kamanda hakuna mgambo?
Hiyo sera ya udini peleka lumumba
Wewe tatizo lako ni zaidi ya hijabu ukiwa hivi mwishoni utakuwa janga la fmilia atimae la jamii
CHADEMA kila mtu kamanda hakuna mgambo?
Bongo waache kufanya kazi zao washabikie ujinga nani kasema.Nauliza hiviii ukawa kwa bongo watakuja lini japo ni mjini lakini huku ndio kuna vilaza kuliko hata tunavyofikiria bora mkoani wana mwamko kuliko huku mjini ni janga la mapinduzi.
Mbona unaweweseka sana? CDM NA MWANZA sawa samaki na maji,uwanja wa furahisha ulitapika.Cha Msingi Ni Kuikataa hii katiba ya kifisadi ili kutoa mwanya wa katiba ya wananchi kujadiliwa na kupatikana sio siku nyingi! Hatuwezi kuhalalisha haramu eti kisa pesa nyingi zimetumika.
hizo picha zimekuuma sana ndo makamanda wa ukweli leo mtaficha sura zenu chooni ni aibu tupu